• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KAHAMA MANISPAA WAHAMASIKA

Posted on: August 26th, 2024

Na. Paul Kasembo, KAHAMA MC.

IKIWA ni siku ya sita (6) ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kwa Mkoa wa Shinyanga, kwa upande wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wananchi wamepokea zoezi kwa hamasa kubwa zaidi jambo ambalo limepelekea kwa baadhi ya maeneo ikiwemo kituo cha Shule ya Msingi Bukondamoyo kuongezwa BVR na kufikia nne (4) sasa huku Mratibu wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoa wa Shinyanga ndg. Bakari Kasinyo akitoa wito kwa wananchi kutumia vizuri muda uliobakia ili kupata huduma katika vituo mbalimbali vilivyopo katika maeneo yao.

Kwa mujibu wa Elikana Shija ambaye ni Afisa Uchaguzi Halmashauri ya Manispaa ya Kahama amesema kuwa mwitikio huu ni matokeo ya juhudi na kazi kubwa iliyofanywa na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama kwa kutoa matangazo na hamasa ambapo walitumia njia mbalimbali ikiwemo magari ya matangazo, redio za kijamii, mabango, mikutano nk.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama ndg. Masoud Kibetu amesema kuwa, kila siku asubuhi yeye mwenyewe kabla ya kuingia ofisini huanzia kwenye vituo vya Uboreshaji Daftari la Mpiga Kura ambapo hukagua ili kuona kama kuna changamoto yoyote na kuzitatua na kisha huendelea na majukumu mengine lengo ni kuhakikisha kila kitu kinatekelezeka vema.

Mkoa wa Shinyanga unatekeleza zoezi hili ulioanza tarehe 21 Agosti, 2024 na unatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 27 Agosti, 2024 ambapo kila siku vituo hufunguliwa saa 2:00 asubuhi na hufungwa saa ifikapo saa 12:00 jioni.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa