• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

UJUMBE WA JUMUIYA YA WAISLAMU AHMADIYYA AKIONGOZWA NA SHEIKH TAHIR MAHMOOD CHOUDHRY

Posted on: July 4th, 2023

UJUMBE wa Jumuiya ya Waislamu Ahmadiyya ukiongozwa na Sheikh Tahir Mahmood Choudhry ambaye ni Amiri na Mbashiri Mkuu wa Tanzania umefika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kujitambulisha imeingia rasmi mkoa wa Shinyanga mnamo 2018.

Pamoja na mambo mengine lakini ujumbe huu umemueleza Mkuu aa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme kuwa Jumuiya ikuwa ikifanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni pamoja na kujenga na kukarabati visima zaidi 100 Mkoani hapa

Aidha Jumuiya pia imejenga nyumba za Ibada pamoja na Vituo vya Walimu zaidi ya 20 ambavyo vinatumika kuelimisha wana jamii kiroho na kimwili ili kusisitiza kuishi kwa amani sawa na mafundisho ya dini tukufu ya kiislamu.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewakaribisha kwa mikono miwili huku akiwaahidi ushrikiano wa dhati kabisa wakati wote.

Kando na hayo pia Mhe. Mndeme alikumbusha juu ya umuhimu wa kuendelea kuisadia Serikali katika kukemea matendo yote yanayokuwa na mmomonyoko wa maadili kwa jamii zetu, huku akiwataka kukemea kwa nguvu zote matendo yote ya kuiga kutoka nchi za mbali ambayo yapo kinyume na tamaduni, mila na desturi zetu.

Sheikh Tahir Mahmood Choudhry ameongoza na Sheikh Abidi Mahmood Bhutt - Mkuu wa Chuo cha Jamia Ahmadiyya Morogoro na Naibu Amiri, Sheikh Abdurahman Muhammed Ame - Naibu Amiri Tanzania.

Wengine ni Ihtsham Latif - Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga, Yusuph Mgeleka - Rais wa Mkoa wa Shinyanga, Saleh Kitabu Pazi - Mwenyekiti wa Wazee wa Ahmadiyya Tanzania.@bakwatatz @ahmadiyya_tz @christinamndeme18 @johari_samizi @shinyanga_press_club

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa