• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Mkandarasi wa Kujenga Uwanja wa ndege wa Ibadakuli apatikana

Posted on: July 17th, 2017

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imeshatafuta Mkandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa Ibadakuli uliopo katika Manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga atakayeanza kazi muda wowote kuanzia sasa.

Prof. Mbarawa amesema hayo alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wakati wa ziara yake ya siku moja ya kukagua miradi mbalimbali inayosimamiwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Prof. Mbarawa amemtaja Mkandarasi huyo kuwa ni Kampuni ya CHICO, ambaye atakamilisha kazi hiyo baada ya mwaka mmoja na kuwa, fedha zipo tayari kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja utakaokuwa na ukubwa wa Kilometa 2.5, hivyo utakuwa ni uwanja mkubwa kwa ndege kubwa kutua.

Aidha,amesisitiza kuwa, wananchi wote wa maeneo ya Uwanja wanaostahili kulipwa fidia, watalipwa  kwa mujibu wa sheria na amewataka wananchi kumpa ushirikiano mzuri Mkandarasi huyo atakapoanza kazi.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack, amemueleza Prof. Mbarawa kuwa, wananchi wa Shinyanga wana shauku kubwa kuona uwanja wa ndege wa Ibadakuli unakarabatiwa na unafanya kazi.

Mhe. Telack pia amemuomba Waziri Mbarawa kusaidia usimamizi wa Ujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa inayojengwa katika eneo la Mwawaza Manispaa ya Shinyanga, pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Kahama inayotarajiwa kujengwa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa