• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI (RUWASA) MKOA WA SHINYANGA YATAMBULISHA RASMI KAMATI YA KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA MAJI.

Posted on: June 28th, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga imefika kwa Mkuu wa Mkoa kutambulisha rasmi Kamati ya Kushughurikia Malalamiko na Kero kuhusu Maji ngazi ya Mkoa ambayo itakuwa na jumla ya wajumbe 10.

Akizungumza wakati wa kikao cha utambulisho huo Meneja RUWASA Mkoa Shinyanga Mhandisi Julieth Payovera alisema kwamba kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali ni kwamba kunakuwa na Kamati kuanzia ngazi ya Kijiji, Kata, Wilaya na Mkoa ambapo leo ndiyo rasmi Kamati inatambukishwa hapa ambapo Mwenyekiti wake ni Mkuu wa Mkoa.

"Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, tumefika hapa kwa lengo la kuitambulisha rasmi kwako Kamati ya Mkoa ambayo kwa mujibu wa sheria Mkuu wa Mkoa (Mhe. Christina Solomon Mndeme) ndiye Mwenyekiti wa Kamati," alisema Eng. Julieth.

Akiwasilisha maelezo ya lengo la mwongozo huo kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ambaye ni Afisa Maendeleo RUWASA Ndg. Rashid Ngoya alisema kuwa Lengo Kuu la Mwongozo wa Kutatua Malalamioo ni kupokea, kutathimini na kutatua malalamiko hayo yanayohusiana na mradi kutoka katika ngazi zote za jamii zilizoathirika na kutoa fursa kwa wadau wa mradi kuwasilisha maswali, maoni, kero, mapendekezo na malalamiko.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati hii ya Malalamiko Mhe. Christina Mndeme pamoja na kuwashukuru RUWASA kwa utambulisho wa Kamati lakini akatoa maelekezo kwa wajunbe walioteuliwa kuwa wanahudhuria vikao wao wenyewe siyo kutuma wawakilishi.

Maelekezo mengine ni kuwa, Sekretarieti kuwasilisha kabrasha mapema kabla ya kikao ili waweze kusoma na kuelewa, kuwepo na Rejesta Maalumu ya malalamiko inayoonesha ni idadi ngapi ya malalamiko yamepokelewa / yaliyoshughurikiwa na mwisho akawataka wajumbe kutatua malalamiko kwa uwazi zaidi.

Kwa ujumla, uwepo wa kamati hii panoja na majukumu mengine kutakwenda kutoa elimu kubwa zaidi kwa jamii itambue kuwa katika utekelezaji wa miradi hii hakutakuwa na fidia ya aina yoyote kwa mtu ambaye mradi unatekelezwa kwenye eneo lake.

@ortamisemi @christinamndeme18 @ruwasa_shinyanga @shinyanga_press_club


ReplyForward

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa