• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAKUNGA NI NGUZO MUHIMU KATIKA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI - DKT. BEATRICE.

Posted on: May 4th, 2025

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

Rais wa Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) Dkt. Beatrice Mwalike amesema kuwa wakunga ni nguzo muhimu katika huduma za afya ya uzazi, na kuwa wao ni sehemu ya mchakato wa kupunguza vifo vya mama na mtoto huku akitoa wito kwa wananchi mkoani Shinyanga kuyatumia maadhimisho hayo kwenda kupata huduma mbalimbali eneo hilo ambapo kilele chake ni Mei 5, 2025.

Dkt. Mwilike alisema hayo Mei 4, 2025 wakati wa mkutano na wandishi wa habari uliofanyika katika viwanja vya Zimamoto Manispaa ya Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine ametumia nafasi hiho kutoa wiyo kwa Serikali, UNFPA na Wadau wa afya kuendelea kuwekeza kwa wakunga kwa kuwapa mafunzo, vifaa na mazingira boranya kufanyia kazi.

"Wakunga ni nguzo muhimu katika huduma za afya ya uzazi, hasa wakati wa migogoro, majanga ya asili, na mabadiliko ya tabia ya nchi, huduma zao haziwezi kuahirishwa na wanahitaji msaada wa kutosha ili kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi wetu, alisema Dkt. Beqtrice.

Inatajwa kwamba, kwa kuwapa wakunga msaada unaohitajika, Tanzania inaweza kufikia malengo ya kuhakikisha kila mama anajifungua kwa usalama hata wakati wa migogoro na majanga Wakunga wanaweza kuchangia kwa asilimia 90 ya kupunguza vifo vya mama na mtoto, kwa hiyo, uwekezaji kwa wakunga ni uwekezaji kwa maisha ya mama na mtoto.

TAMA pia inatangaza kuwa maadhimisho ya mwaka huu yatafanyika  mkoani Shinyanga, katika viwanja vya Zimamoto  kuanzia Mei  4- 5 Mei, 2025 ambapo huduma za afya bure zitapatikana kwa wananchi sanjari na  mabanda ya maonyesho ya kazi mbalimbali za wakunga yakionyesha mchango wao katika jamii.

Mei 5, 2025 ni kilele ambapo kutatanguliwa na matembezi ya wakunga kuonyesha kazi zao na kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa huduma za uzazi.

Kauli mbiu ni "Mkunga ni Nguzo Muhimu katika kila Janga".

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa