• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI, ACHENI KUFANYA SHUGHULI ZA KIJAMII KWENYE HIFADHI YA BARABARA - RC MACHA

Posted on: July 15th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa wananchi wote mkoani shinyanga kuacha tabia ya kujihusisha na shughuli za kijamii katika maeneo yote ya hifadhi ya barabara na badala yake waitunze miundombinu hiyo pamoja na alama zake ili iwe endelevu na kwa manufaa ya waliowengi zaidi.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 15 Julai, 2024 wakati akihutubia wajumbe wa waalikwa wa Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Mkuu wa Mkoa huku akisisitiza pia wakuu wa taasisi TANROADS na TARURA Mkoa kuhakikisha pia wanasaidia utoaji wa elimu juu ya utunzaji wa miundombinu hii sanjari la kufanya usafi wa mazingira mbele ya maeneo yao wanayoishi au kufanyia shughuli.

"Wananchi, acheni tabia ya kuifuata na kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo yote yaliyotengwa kwa ajili ya hifadhi ya barabara, badala yake muwe sehemu ya kuitunza, kulinda na kuimarisha miundombinu na alama zake zote ili iwe endelevu na ilete toja iliyokusudiwa na Serikali," amesema RC Macha.

Kando na wito huu, pia RC Macha amewapongeza Wakuu wa Wilaya zote tatu, Mheshimiwa Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga, Kahama na Wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya ya Kishapu, Shinyanga, Msalala na Ushetu pamoja na waheshimiwa madiwani wote, wataalam wote wakiongozwa na wakurugenzi wao wote ndani ya Mkoa na wakuu wote wa taasisi zote kwa kazi nzuri wanazozifanya katika kahakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa yenye kuwaletea maendeleo yenye tija endelevu wananchi katika maeneo yao.

Aidha RC Macha amewashauri wahusika wote wanaohusika na mchakato wa upataikanaji wa wakandarasi kuwa makini zaidi kwani imeinika kuwa baadhi ya wakandarasi ni hawana uwezo mzuri katika utekelezaji wa kazi wanazopewa jambo ambalo linapelekea miradi kuchelewa kukamilika kwa wakati.

Mwisho RC Macha amempongeza sana Eng. Joel Mwambungu ambaye ni Meneja wa TANROADS Mkoa wa Shinyanga kwa utekelezaji wa maelekezo ya Serikali. Huku Meneja wa TARURA Mkoa wa Shinyanga Eng. Avith Theodory akimshukuru na kumpongeza sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuiongeza bajeti ya TARURA katika utekelezaji wa miradi mkoani Shinyanga.


HABARI PICHA








Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa