Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI KATA YA MHUNGULA KUONDOKANA NA KERO YA MAJI

Posted on: April 6th, 2024

Na. Paul Kasembo - Kahama MC


WAKAZI wa Kata ya Mhungula iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Kahama sasa wanaelekea kuondokana na kero ya kukosa hudu a ya maji baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita kumpigia simu moja kwa moja Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso wakati mkutano wa hadhara ukiendelea.

Haya yanetokea katika mkutano wa hadhara ambao alikuwa akiufanya Mhe. Mboni wa kupokea, kusikiliza na kutatua kero za wananchi moja kwa moja kutoka katika maeneo yao wanayoishi, ambapo hoja ya kutokuwepo kwa maji iliibuliwa na ndipo Mhe. Mnoni akampigia simu Mhe. Aweso ambaye alizungumza nao wananchi kupitia kipqza sauti kilichokuwa kikinasa sauti kupitia simu na kuwaahidi kuwafikishia huduma hiyo.

Kupitia mkutano huo, Mhe. Aweso alimuagiza Mkurugenzi wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira kuandaa na kupeleka makadirio ya bajeti ili Wizara ilete fedha hizo na ziweze kuwafikishia huduma wananchi hao.

Katika hatua nyingine, Mhe. Mboni ameiagiza KUWASA kuhakikisha inapeleka maji katika eneo la Shule mpya ya Sekondari Nyahanga kabla ya Juni, 30 mwaka 2024

Aidha, kutokana na wananchi kutumia muda mrefu kufuata huduma za Afya, Mhe. Mboni amemuagiza Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kahama kusogeza huduma (Outreach) za kliniki kwa watoto wadogo katika Kata hii ya Mhunhula, ambapo mmiliki wa Shule ya Believe Excellence ameombwa moja ya chumba kwenye jengo lake litumike kwa utoaji huduma hiyo ambapo mmiliki huyu amekubali kutoa darasa kwa ajili ya matumizi hayo.wa wananchi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI WEKEZENI ZAIDI KATIKA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO – LYAMONGI

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa