• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Wananchi wajenga Ofisi kutokana na mauzo ya maji

Posted on: March 23rd, 2018

Jumuiya ya watumia maji ya kijiji cha Mwagala, kata ya Mwagala katika Manispaa ya Shinyanga imetumia kiasi cha sh. Milioni 5.2 kujenga Ofisi kwa ajili shughuli za mradi wa maji kutokana na mapato ya mauzo za maji.

Ofisi hiyo ambayo ipo katika hatua za mwisho za ukamilishaji, imezinduliwa katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya maji yaliyofanyika Kimkoa kijijini hapo.

Akisoma taarifa ya mradi wa maji wa kijiji hicho, mtunza fedha wa jumuiya ya watumia maji Bi. Uwezo Issa Misanga amesema kuwa, mradi wa maji ambao chanzo chake kikuu ni Ziwa Viktoria una vituo 9 vya kuchotea maji na unahudumia wakazi 3960 na baadhi ya wananchi wameweza kuvuta maji hadi majumbani kwao.

Bi. Misanga amesema kuwa, Kamati ya maji ya kijiji hicho iliyokuwepo awali ilivunjwa na kuundwa kamati ya sasa ambayo imeweza kufanikisha ujenzi huo baada ya kuona kuna haja ya kuwa na ofisi kwa ajili ya kutunza kumbukumbu za fedha, nyaraka na shughuli nyinginezo za huduma ya maji.

Aidha amewaomba wadau mbalimbali kusaidia kuongeza nguvu ili kukamilisha ujenzi ambao umesimama kutokana na kupungukiwa fedha.

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya maji yamefanyika jana Kimkoa katika kijiji cha Mwagala na kuhudhuriwa na Viongozi, wadau, wananchi na Watalaamu mbalimbali ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Nyabaganga Taraba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa