• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Wasichana zaidi ya elfu 29 kupata chanjo ya saratani Mkoani Shinyanga

Posted on: April 16th, 2018

Mkoa wa Shinyanga umelenga kutoa chanjo mpya ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana 29,451 kwenye uzinduzi wa chanjo hiyo utakaofanyika hapo Jumatatu ya tarehe 23 Aprili, 2018 katika viwanja vya Zima moto, eneo la Nguzo nane, Manispaa ya Shinyanga. 

Wasichana hao ni wote ambao ni wanafunzi na wasio wanafunzi, watapata chanjo hiyo inayojulikana kama HPV (Human Papillomavirus) kwa lengo la kuwakinga na satarani ya mlango wa kizazi ambayo imekuwa tatizo kubwa kwa wanawake hasa katika nchi zinazoendelea.

Mratibu wa Mkoa wa Afya ya Mama na Mtoto Bibi Joyce Kandoro amebainisha kuwa jumla ya wanawake 528,000 wamethibitika kuwa na saratani ya mlango wa kizazi kila mwaka  katika nchi zinazoendelea hususani Tanzania na pia kila mwaka wanawake 7,304 wanapata tatizo hilo nchini.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Rashid Mfaume  amewataka wananchi wote wenye watoto wa umri wa miaka 14 kuwapeleka watoto wao katika vituo vya kutolea huduma hiyo ili kuwakinga na saratani ya mlango wa kizazi.

Naye mmoja wa waratibu wa chanjo hiyo kutoka Wizara ya Afya Bw. Elias Masumbuko amesema kuwa, virusi vya saratani ya mlango wa kizazi huwapata wanawake wakiwa katika umri mdogo lakini madhara yake yanaonekana baadaye wanapokuwa watu wazima, hivyo ni vema kuwakinga mapema ili kuzuia virusi hivyo. Vile vile saratani ya Mlango wa kizazi ni ya kwanza kwa kusababisha vifo kwa wanawake nchini ikifuatiwa na saratani ya matiti.

Ameongeza pia kuwa, kwa wasichana ambao wamevuka umri wa miaka 14 pamoja na wanawake walio katika umri wa kuzaa wanashauriwa kwenda kwenye vituo vya afya kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na matibabu endapo watabainika wana dalili za virusi hivyo.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa