• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI 1632 WA VITUO 391 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU JIMBO LA SHINYANGA MJINI.

Posted on: October 26th, 2025

Na Johnson James, Shinyanga

Wasimamizi 1632 wa Vituo 391 na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Shinyanga mjini wameapishwa na kumepewa mafunzo maalum na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ikiwa ni maandalizi ya mwisho kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Mafunzo hayo yamefanyika leo Octoba 26,2025 katika shule ya Savannah Plains High School iliyopo Manispaa ya Shinyanga pamoja na maeneo mengine ambapo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Shinyanga mjini Ally Liuye aliwataka wasimamizi hao kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo mkubwa ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, haki na uwazi.

Amesisitiza kuwa usomaji wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni jambo la lazima kwa kila msimamizi, kwani ndicho chanzo kikuu cha mamlaka na mwongozo wa uchaguzi nchini.

“Lazima mtambue kuwa macho ya Watanzania na dunia yako kwenu. Zoezi hili linaongozwa na Katiba, hivyo mnapaswa kulielewa kwa undani ili kufanikisha uchaguzi huru, wa haki na unaokubalika,” amesema Liuye.

Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi muhimu ya kuhakikisha siku ya uchaguzi inafanyika kwa utulivu, huku usalama na taratibu zote zikizingatiwa ili wananchi waweze kutumia haki yao ya kikatiba bila bughudha.
Halima Juma ambaye ni Mshiriki wa Mafunzo hayo amesema yatawasaidia kuongeza maarifa ili kuyafikia malengo ya kuwapata viongozi bora kupitia uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba 29 mwaka huu.

Nae Brasio Genda amesema mafunzo hayo yatawasaidia kuwajengea uwezo wa namna bora ya kusimamia zoezi la upigaji kura na kwamba yamekuja wakati mwafaka.










Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa