• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Watoto zaidi ya laki mbili kupata chanjo ya Surua na Rubella Mkoani Shinyanga

Posted on: October 17th, 2019

Mkoa wa Shinyanga unatarajia kutoa chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto 286,124 wenye umri wa miezi 9 hadi miaka minne na miezi 11 kwa siku tano za kampeni ya hiyo ya Kitaifa iliyozinduliwa mapema leo tarehe 17/10/2019.

Akizindua chanjo hiyo kimkoa, katika kijiji cha Lyabukande, kata ya Lyabukande, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga,  Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewataka wananchi kuwapeleka watoto kupata chanjo ili kuwanusuru na vifo vitokanavyo na magonjwa hayo. 

"Rais wetu wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, anayethamini sana afya za wananchi wake hasa katika kuzuia magonjwa yanayoambukizwa, ameendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha kwamba kama Nchi tunaboresha afya za wananchi wetu. Hivyo Serikali imeanza kutoa chanjo kwa magonjwa yanayoambukiza ikiwemo Surua na Rubella lengo ni kuhakikisha kuwa tunapunguza ulemavu na vifo vinavyotokana na magonjwa haya ambayo yanaweza kuzuiwa kwa chanjo" amesema Mhe. Telack

Aidha Mhe. Telack amesema kuwa, Mkoa wa Shinyanga utatoa chanjo tatu kwa siku zote tano za kampeni hii ambazo ni Surua, Rubella na Polio ambapo watoto wanaotarajiwa kupata chanjo ya Polio ni 152547.

Telack amewasisitiza wananchi wote kuwa chanjo hizi ni salama kabisa na zinatolewa bure.

Awali akitoa taarifa ya kampeni hiyo, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya katika Sekretarieti ya Mkoa Dkt. Rashid Mfaume amesema kuwa, miaka ya nyuma kabla ya chanjo hizi, magonjwa ya Surua na Rubella yalisababisha vifo vingi vya watoto.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa