• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

Posted on: May 16th, 2025

Na. Paul Kasembo – SHY RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, ametoa wito kwa wazazi na walezi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga waliohitimu Kidato cha Sita, kuwa mabalozi wa kazi nzuri na zenye manufaa zinazotekelezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maeneo yao ya asili.

Mhe. Macha ametoa wito huo Mei 16, 2025, wakati wa Mahafali ya Kwanza ya Kidato cha Sita katika shule hiyo, yaliyofanyika katika bwalo la shule na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Shinyanga Mwl. Samson Hango, Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Elexius Kagunze, pamoja na wazazi, walezi, wadau wa elimu, walimu na wanafunzi.

Katika hotuba yake, Mhe. Macha alisisitiza kuwa wazazi na walezi wamejionea wenyewe maendeleo makubwa ya miundombinu, vifaa vya kujifunzia na kufundishia pamoja na rasilimali watu, ikiwa ni matokeo ya jitihada madhubuti za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

“Niwaombe wazazi na walezi wote mliohudhuria mahafali haya, muende mkawe mabalozi wa kazi nzuri na zenye tija zinazofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mmejionea maendeleo makubwa ya ujenzi wa shule hii, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 4, ukiwa umekamilika pamoja na vifaa vyake na walimu waliopo,” alisema Mhe. Macha.

Aidha, aliwataka wahitimu kuwa na maadili mema na kujiepusha na tamaa zisizo na tija, huku akiwahimiza kujiandaa ipasavyo kwa masomo ya elimu ya juu.

Akiwasilisha taarifa ya shule, Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Nurah Kamuntu, alisema shule ina jumla ya walimu 23 (16 wa kike na 7 wa kiume), watumishi 9 wasio walimu, wakiwemo matroni 1, mhasibu 1, msanifu wa maabara 1 na mhudumu wa afya 1.

Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga ni shule ya mchepuo wa Sayansi kwa elimu ya Sekondari ya juu, iliyoanzishwa Agost 13,i 2023 ikiwa na wanafunzi 73 waliomaliza wote kwa mafanikio. Kwa sasa shule ina jumla ya wanafunzi 544, wakiwemo 187 wa Kidato cha Kwanza, 127 wa Kidato cha Pili, na 157 wa Kidato cha Tano.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI WEKEZENI ZAIDI KATIKA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO – LYAMONGI

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa