• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAZEE, VIONGOZI WA DINI NA MACHIFU WAMSHUKURU MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Posted on: January 24th, 2024

Wazee, Viongozi wa Dini na Machifu Mkoa wa Shinyanga wamemshukuru sana Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea maendeleo ya kweli na ya haraka zaidi mkoani shinyanga. Haya yamebainishwa leo tarehe 24 Januari kwenye mkutano wa makundi hayo na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme

Katika mkutano huu, wazee kwa kauli moja wamesema wanamuunga mkono Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan na kwamba wataendelea kushirikiana nae wakati wote na wala asiwe na shaka yoyote kuhusu Mkoa wa Shinyanga.

Kando na hayo, mkutano pia umejadilia suala ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana ambapo hivi sasa wamefikia hatua ya kutumia madawa ya kulevya, ulevi na ukahaba wa hadharani jambo ambalo limepelekea wazee hao kutoa azimio la kumuomba Mkuu wa Mkoa kuwakamata wale wote wanaofanya biashara ya ukahaba.

Aidha, wazee, viongozi wa dini na machifu kwa kauli moja wamesema wanaridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme na hivyo wakatoa pongezi zao kwa umoja wao.

Kwa upande wake RC Mndeme amepokea pongezi za Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan na akawaahidi kuwa atazifikisha huku akiwaeleza kuwa maelekezo na ushauri wote waliotoa ameupokea na uataufanyia kazi ukiwemo wa kuhakikisha wale wate wanaofanya biashara ya uhakahaba wanakamatwa na kufikishwa kwenye mikono ya Selikali.

Picha ikimuonesha Sheikh Mkuu wa Mkoa  wa Shinyanga Ndg. Ismail Makusanya akielezea jambo wakati wa mkutano

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa