• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kilimo

Shughuli kuu ya wakazi wa Shinyanga zaidi ya asilimia 80 ni Kilimo. 

Kilimo kina nafasi muhimu katika kuajiri wananchi wengi, upatikanaji wa chakula, mauzo ya mazao ndani na nje ya nchi na malighafi za viwanda. Pia ni chanzo cha kipato kwa wakulima na Taifa kwa ujumla.

Eneo linalofaa kwa Kilimo 

 Mkoa una eneo la kilometa za mraba 18,555 sawa na hekta 1,855,500 ambapo hekta 1,220,090 zinafaa kwa kilimo. 

Eneo la kila Halmashauri, Eneo linalofaa na linalolimwa

Halmashauri

Eneo la Halmashauri (ha.)

Eneo linalofaa kwa Kilimo

(ha.)

Eneo lililolimwa 2015/2016

(ha.)

Asilimia ya

Eneo

lililolimwa

Kahama (M)

151,500

71,874

45,100

63

Msalala

263,500

210,000

144683

69

Ushetu

531,100

395,011

282580

72

Kishapu

433,400

319,200

167985

53

Shinyanga (W)

421,200

171,375

105,777

62

Shinyanga (M)

54,800

52,630

15,210

29

Jumla Kuu

1,855,500

1,220,090

761,335

62

Chanzo: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Kilimo cha Mazao ya Chakula

 

 Mazao makuu ya chakula yanayolimwa katika Mkoa wa Shinyanga ni mtama, uwele, mpunga, mahindi, viazi vitamu na mihogo.

 

Kilimo cha Mazao ya Biashara

 

Mazao makuu ya biashara ni pamba, tumbaku, alizeti, dengu, karanga, choroko na ufuta.  

Kilimo cha katani kilianza mwaka 2011 kwa ufadhili wa Shirika lisilo la kiserikali la OXFAM GB. Hadi sasa kuna wananchi 43 na vikundi 5 ambavyo vimelima ekari 137 za katani. Wakulima hawa wanauza nyuzi za katani kwa kampuni ya Tanga Katani Limited kwa bei ya sh.1200 kwa kilo.


                      

Kilimo cha Umwagiliaji

Eneo linalofaa kwa umwagiliaji katika Mkoa ni hekta 221,896. Eneo linalomwagiliwa ni hekta 4,899 sawa na asilimia 2.2 ya eneo linalofaa kwa umwagiliaji.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa