• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii iliyoboreshwa (CHF)

Ukitaka kujiunga na mfuko wa Afya ya jamii ili upate kitambulisho kitakachokuwezesha kutibiwa katika vituo vya kutolea huduma ya Afya, yaani Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali kwa mwaka mzima bila malipo, fuata hatua chache zifuatazo:-

1. Nenda kwenye Ofisi ya Mtendaji wa Kata mahali unapoishi au kituo cha Afya chochote kilichopo karibu uulizie Afisa mwandikishaji wa CHF

2. Uwe na sh. 30,000/= kwa ajili ya kukuwezesha kujiandikisha wewe na familia yako yaani wewe na mke / mume wako na wategemezi au watoto 4 hivyo kufanya watu sita kwa familia / kaya moja.

3. Wakati wa kujiandikisha kwa Afisa mwandikishaji, utachukuliwa picha yako pamoja na wategemezi wote watano yaani mke / mume na wategemezi / watoto. Zoezi lote la uandikishaji na kupiga picha ni bure.

4. Kila mmoja atapata kitambulisho cha kwake yaani vitambulisho 6 kwenye familia moja

7. Hakikisha unaondoka na kitambulisho chako pamoja na vitambulisho vya kila mmoja katika familia yako.

8. Kila mmoja atatakiwa kwenda na kitambulisho chake katika kituo cha Afya kila atakapohitaji huduma ya Afya.

9. Muda wa matumizi ya kitambulisho hicho ni mwaka mmoja tangu siku uliyojiandikisha. Baada ya mwaka utatakiwa kufuata utaratibu huu kwa kulipa tena sh. 30,000/=

10. Kumbuka mfumo wa matibabu unaanzia ngazi ya Zahanati au Kituo cha Afya mahali ulipo hadi Hospitali ya Rufaa.

11. Huduma hii inapatikana katika Mikoa yote ya Tanzania Bara.

"OKOA GHARAMA YA MATIBABU WEWE NA KAYA YAKO ISIYOZIDI WATU SITA KWA MWAKA MZIMA KWA SHILINGI 30,000/- TU"

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa