• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

"Awamu ya tano ni Serikali inayotaka kuwafikia wananchi pale walipo na kutatua kero zao"

Posted on: June 27th, 2019

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack jana tarehe 26/06/2019 katika uwanja wa Majengo, Wilayani Kahama wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya hiyo na kusikiliza kero zao.

Katika mkutano huo, Mhe. Telack amewaeleza wananchi utekelezaji wa mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali ya Mkoa katika kuwasogezea huduma karibu ikiwemo ujenzi wa vituo 11 vya afya, Hospitali 2 za Wilaya, ujenzi wa Ofisi za Maafisa Tarafa na nyumba za watumishi wa jeshi la Polisi.

Telack amesema iwapo wananchi watakuwa na huduma karibu hasa afya, wataweza kufanya kazi zao kwa uhuru na amani.

Aidha, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kahama kutowasikiliza watu wanaochochea migogoro na kuandika maneno yasiyo ya ukweli kwenye magazeti.

"Kuna baraza la wazee linalotambulika kisheria, kazi yake ni kuishauri Serikali na siyo vinginevyo,hivyo wananchi msiwasikilize hao wengine" amesisitiza Telack.

Mmoja wa wananchi wa Wilaya ya Kahama, Mzee Ndali akitoa kero yake kwa Mhe. Mkuu wa Mkoa hapo jana katika uwanja wa Majengo, Kahama.

Diwani wa kata ya Majengo Kahama, akiwasilisha kero za kata hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga jana, katika uwanja wa Majengo, Kahama

Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Majengo Kahama,wakifuatilia majibu ya kero zao.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa