• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA KHAMIS KATIMBA

Posted on: May 8th, 2024

Na. Paul Kasembo, Msalala.

BARAZA la Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala limempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Ndugu Khamis Katimba kwa kazi nzuri anayoifanya tangu kuteuliwa kwake na kuanza kuitumikia Msalala hususani katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ukusanyaji wa mapato, ustawi wa wananchi na uboreshaji wa utawala bora kwa Wanamsalala.

Pongezi hizi zimetolewa kwa niaba ya Baraza leo tarehe 8 Mei, 2024 na Mhe. Shija Joseph Luyobya ambaye ni Diwani wa Kata ya Bulyanhulu katika Baraza la robo ya tatu Januari - Machi 2023/2024 ambalo pamoja na mambo mengine lilipokea na kujadili taarifa kutoka kwa Kamati mbalimbali za Kudumu ambapo wajumbe wa Baraza walimpongeza kwa dhati huku likionesha kuvutiwa zaidi na ubunifu wake katika utendaji kazi wake.

"Mhe. Mwenyekiti, sisi Waheshimiwa Madiwani kwa dhati kabisa tunampongeza sana Mkurugenzi Mtendaji wetu wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala kwa utendaji bora wake katila kuwahudumia wananchi, kutekeleza miradi ya maendeleo, kuboresha utawala bora, upatikanaji wa Hati Safu na kubwa zaidi kuongeza na kuboresha kiwango cha ukusanyaji wa mapato ambapo mpaka sasa amekusanya 98% wakiwa wamevuka lengo la serikali kabla ya Juni 30, 2024," amesema Mhe. Luyobya.

Kando na pongezi hizi, Baraza la Madiwani limeipongeza sana Mhandisi Maduhu Magili ambaye ni Meneja wa RUWASA Wilaya ya Kahama kwa namna ambavyo wanatekeleza miradi yao ambayo imekuwa na tija zaidi kwa wananchi wa Msalala.

Kwa upande wa TARURA Wilaya wajumbe wameshauri Eng. Ally Ndumbalo ambaye ni Kaimu Meneja Wilaya ya Kahama waanze na vipolo (miradi isiyokamilika) ambavyo vipo kabla hawajaanza utekelezaji wa miradi mipya kwa mwaka 2024/2025 ili kupunguza maswali kwa wananchi ukizingatia mwaka huu ni wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa