• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI (NEEC) LAFANYA MAFUNZO KWA MAKUNDI MBALIMBALI - SHINYANGA.

Posted on: December 20th, 2024

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani (ILO) limeanza uhamasishaji na mafunzo ya urasimishaji biashara na fursa za ununuzi wa Umma kwa wafanyabiashara wadogo nawa kati katika Mikoa mbalimbali nchini ambapo Shinyanga ni moja ya Mkoa uliopata fursa ya mafunzo haya.

Akizungumza kwa niaba ya Timu ya wawezeshaji Bi. Susan Masalla kutoka NEEC amesema kuwa pamoja na kufanya uhamasishaji na mafunzo haya, lakini pia washiriki watapata nafasi nzuri ya kujifunza namna nzuri ya kufanya Ununuzi wa Umma, usimamizi wa biashara rasmi, taratibu za kukamilisha urasimishaji na maana halisi ya urasimishaji wa biashara yenyewe.

Mafunzo haya ya siku tatu kuanzia tarehe 20 - 22 Desemba, 2024  kwa upande NEEC yanawakilishwa na Susan Masalla, Barry Yongolo na Jozaka Bukuku, PPRA inawakilishwa na mkufunzi ndg. Lusekelo Kamwena huku ndg. Chrisantus Kitundu yeye ni Mwalimu wa Uanzishwaji na Uendelezaji Biashara, wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ni Mha. Dotto Maligisa na Rose Tungu.

Na makundi nufaika katika mafunzo haya kwa napa mkoani Shinyanga ni pamoja na Jukwaa la Wanawake Kiuchumi, Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Chama Cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Shirikisho la Umoja wa Wamachinga Tanzania (SHIUMA), Wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 pamoja na Vikundi vya Wajasiliamali.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa