• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARRIC BULYANHULU YAANDAA MAFUNZO YA KANUNI MPYA ZA WAJIBU WA WAMILIKI WA LESENI ZA MADINI KWA JAMII (CSR)

Posted on: October 20th, 2023

Na Shinyanga RS.

Katika kuboresha wajibu wa wamiliki wa leseni za madini kwa jamii nchini (CSR) Mgodi wa Barick bulyanhulu kwa kushirikiana na Tume ya madini Mkao mkuu Wamefanya mafunzo ya kanuni mpya za CSR kwa Viongozi wa Halmashauri ya Msalala  kwaajili ya kurahisisha Uaandaji na Utekelezaji wa miradi Itakanayo na CSR.

Akieleza Umuhimu wa Mfunzo hayo  Mhandisi Migodi  kutoka Tume ya Madini Mako makuu MACKENZIE MABULA Amesema Awali kulikuwa na Sheria pekee zilizokuwa zinatumika ambapo kulikuwa nachangamoto ya kuzielewa sharia zote hivyo ujio wa kanuni hizi zitawarahisishia wasimamizi na watekelezaji wa miradi hiyo itokanayo na CSR.

“Niseme tu ujio wa kanuni hizi zitawasaidia sana katika uandaaji na utekelezaji wa miradi hii kuchambua sharia moja baada ya nyingine kulikuwa nachangamoto zake lakini sasa serikali yetu imeliona hilo sasa tutatumia kanuni niwaombe kwa pamoja mgodi na halmashauri mkatekeleze ipasavyo miradi hiyo” –Mabula alisema

Kwa Upande wake Meneja wa wa Mazingira na Mahusiano ya Mgodi wa Bulyanhulu AGAPITI PAUL Ameiomba halmshauri hiyo kuendelea kushirikiana na mgodi kwa kukamilisha miradi kwa wakati  ili wananchi waweze kunufaika na uwekezaji uliofanywa na mgodi huo wa Bulyanhulu .

“Tujitahidi kumaliza kwa wakati miradi hii kwani lengo la mgodi na serikali ni kuona wananchi wananufaika na wawekezaji nchini hasa sisi wa madini ambao tumewekeza katika halmashauri yenu” –PAUL alisema

Akifunga mafunzo hayo kwa upande wa Halmshauri ya Msalala Mkurugenzi Mtendaji Khamis katimba Ameupongeza mgodi wa Barick bulyanhulu kwa kuandaa mafunzo hayo kwani yatawasaidia waatalamu wake kutekeleza kwa ufanisi Miradi hiyo itakayotolewa na Mgodi huo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa