• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARRICK BULYANHULU NA KAKOLA DIGITAL SOLUTION WAGAWA MICHE YA MITI 500

Posted on: March 3rd, 2024

Na. Shinyanga RS.

BARRICK Mgodi wa Barrick bulyanhulu kwa kushirikiana na kampuni ambayo ni mzabuni ndani ya mgodi huo Kakola Digital Solution wamegawa miche ya miti 500 aina mbalimbali katika shule mpya ya msingi ya bulyanhulu iliyopo kata ya bulyanhulu Halmashauri ya Msalala wilaya ya kahama mkoani Shinyanga.

Akizungumza Baada ya kukabidhi miche hiyo Mkurugenzi wa Kakola Digital Solution David Semwenda Amesema wameamua kushirikiana na mgodi kutoa miche hiyo ya miti ikiwa ni kurudisha shukrani kwa jamii inayozunguka mgodi lakini ikiwa wao wanufaika na mgodi kwa kuwa wazabuni lazima warudishe kidogo wanachopata ili jamii ijivunie kuwa na kampuni za wazawa walioaminiwa na wawekezaji.

“ Tunaushukuru sana mgodi wa barrack bulyanhulu kwa kutuamini kama vijana wazawa na kukubali kufanya kazi na sisi lakini pia kulingana na mazingira ya shule hii ni mpya na haikuwa na miti yoyote hivyo tukaona tuanze na shule hii kisha tutaendelea na shule nyingine” david alisema

Aidha kwa mkuu wa shule hiyo Bi.Joyce Lwanji Amesema wanaishukuru sana kampuni ya kakola digital pamoja na mgodi wa barrack bulyanhulu kwa kuwapatia miche hiyo huku akiahidi kuwa wataitunza miti hiyo ili kuwapa Imani na wadau wengine kuendelea kufadhili vitu mbalimbali katika shule hiyo.

Kwa Upande wa  mgodi wa Barrick Bulyanhulu kupitia mwakilishi wao Marry Lupamba Amesema Mgodi utaendelea kushirikiana na Serikali na Wadau mbalimbali katika kuwaletea maendelea wananchi wote wanaoishi karibu na mgodi huo ili tu nao wanufaike na uwekezaji uliowekwa nchini.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa