• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

CGI DKT. ANNA MAKAKALA AMPONGEZA RC MNDEME

Posted on: August 2nd, 2023

CGI DKT. ANNA MAKAKALA AMPONGEZA RC MNDEME

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania CGI. Dkt. Anna Makakala amempongeza sana Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme kwa namna ambavyo anafanya kazi za kuwahudumia wananchi pamoja na namna ambavyo anashirikiana na Jeshi la Uhamiaji sanjari na Vyomho vingine vya Ulinzi na Usalama jambo ambalo linaifanya Shinyanga kuwa salama wakati wote.

Hayo yamesemwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wakati CGI Dkt. Anna alipofika kwa ajili ya kusalimiana na kusaini kitabu cha wageni ambapo pamoja na mambo mengine lakini pia alimuahidi Mhe. Christina Mndeme kuwa ataongeza nguvu zaidi Mkoani hapo mara baada ya kumalizika kwa mafunzo ya askari yanayoendelea hivi sasa ili kuimarisha zaidi eneo hilo.

"Nikupongeze sana Mhe. Mndeme kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwaletea maendeleo wananchi na kuimarisha ulinzi na usalama hapa Shinyanga jambo ambalo linawafanya wananchi waemdelee kuchapa kazi za kujiletea maendeleo yao na Taifa kwa ujumla, na pia nikuahidi kuwa nitaongeza nguvu hapa ili kuimarisha kazi za Uhamiaji hapa Shinyanga," alisema CGI Dkt. Anna.

Katika ziara hii CGI Dkt. Anna ameambatana na Afisa Uhamiaji Makao Makuu Kamishna Msaidizi wa Uhamiaji (AC) Elizabeth Lukuwi, Mkuu wa Kitengo cha Majengo Uhamiaji Makao Makuu Kamishna Msaidizi wa Uhamiaji (AC) Martine Mwenda na Mkaguzi wa Uhamiaji Said Kassim kutoka Kitengo cha Mipango Uhamiaji Makao Makuu.

PICHA NA MATUKIO

Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa suluali ya bluu) akiwa na CGI Dkt. Anna Makakala wakifurahia jambo.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa