• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

DC MTATIRO ASISITIZA ELIMU YA UELEWA WA SHERIA IWE ENDELEVU

Posted on: February 3rd, 2025

SHINYANGA MC.

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro (Wakili) ameisisitiza Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga kuendelea kutoa elimu ya uelewa wa sheria kwa wananchi baada ya kumalizika kwa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria jambo litakalopunguza malalamiko kwa Mhimili huo.

DC Mtatiro ameyasema haya Februari 3, 2025 wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yaliyofanyika kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga ambapo pamoja na yote amewapongeza Mahakimu na Majaji kwa kazi kubwa waliyofanya ya kuwafikia wananchi na kuwapatia huduma za kisheria.

“Tunawapongeza kwa kazi nzuri ambayo mmeifanya kwa wiki nzima ili kuwafikia wananchi na kuwapatia huduma za kisheria, lakini nawasisitiza kwamba utoaji wa elimu ya uelewa na huduma za sheria iwe endelevu ili watu wengi zaidi iwafikie na kupunguza malalmiko ya wananchi,” amesema DC Mtatiro.

Kwa upande wake Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga Mhe. Frank Mahimbali amesema kuwa wameanza rasmi mwaka wa 2025 wakiwa hawana kesi zozote za nyuma kutokana na juhudi na kazi nyingi walizofanya kuhakikisha wanamaliza kesi kwa muda mufaka

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Shinyanga Shaban Mvungi amesema kwa mwaka 2024 TLS imewafikia wananchi takribani 7,307 kupitia Wiki ya Sheria na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ikiwa na lengo la kushiriki katika utoaji wa Msaada wa Kisheria.

Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga yalianza tarehe 25 Januari, 2025 na yamehitimishwa leo tarehe 3 Februari, 2025 ambapo yaliambatana na utoaji waelimu na msaada wa kisheria kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa