• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA WILAYA YA KAHAMA AWAPONGEZA WASHIRIKI WA MAONESHO YA SABASABA 2025 KUTOKA MKOA WA SHINYANGA

Posted on: July 5th, 2025

Sabasaba 2025.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kahama, Bi. Glory Absalum, amewapongeza wafanyabiashara kutoka Mkoa wa Shinyanga wanaoshiriki Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, yanayoendelea katika Viwanja vya J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya kutembelea mabanda ya washiriki hao yaliyopo ndani ya Banda la Sadan, mkabala na Banda la TANESCO, Bi. Glory amepongeza ubunifu mkubwa unaofanywa na wafanyabiashara hao, hususan katika kuongeza thamani ya bidhaa mbalimbali walizonazo.

“Nawapongeza kwa dhati wafanyabiashara wote kutoka Halmashauri zote za Mkoa kwa ushiriki wenu mzuri. Maonesho haya ni fursa adhimu ya kuuza bidhaa zenu, kutangaza huduma mnazotoa pamoja na kuonesha fursa zilizopo katika maeneo yenu. Huu ni wakati muafaka wa kushirikiana na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi,” alisema Bi. Glory.

Aidha, ameeleza kuwa kiwango cha maandalizi na ubora wa bidhaa zinazotolewa na washiriki kutoka Mkoa wa Shinyanga ni ushahidi wa uwezo mkubwa walionao na utayari wa kushindana katika masoko ya Kitaifa na Kimataifa.

Mabanda ya Mkoa wa Shinyanga yamekuwa kivutio kikubwa kwa wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali, wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi pamoja na wananchi, kutokana na ubunifu, nidhamu ya kazi na bidhaa zenye viwango vya juu vinavyoendana na mahitaji ya soko.

Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba ni jukwaa muhimu kwa wafanyabiashara na taasisi mbalimbali kuonesha bidhaa, huduma na teknolojia mpya, huku yakihamasisha uwekezaji ndani ya Mkoa wa Shinyanga na ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na mataifa mengine.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM APONGEZA USHIRIKI WA MKOA WA SHINYANGA KATIKA MAONESHO YA SABASABA.

    July 06, 2025
  • RC. MBONI ATOA WITO KWA TISEZA KUTANGAZA FURSA KUU YA KONGANI YA UWEKEZAJI BUZWAGI

    July 05, 2025
  • MHE. RIDHIWANI KIKWETE AWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA MKOA WA SHINYANGA KWENYE MAONESHO YA SABASABA

    July 05, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA KAHAMA AWAPONGEZA WASHIRIKI WA MAONESHO YA SABASABA 2025 KUTOKA MKOA WA SHINYANGA

    July 05, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa