• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KIONGOZI ATAKAYECHAGULIWA LAZIMA AWE NA SHUGHULI HALALI YA KUENDESHA MAISHA YAKE - RC MACHA

Posted on: October 8th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamiringi Macha amewataka wagombea wanaotarajia kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga kuwa na shughuli halali zinazowapatia uchumi na kuendesha maisha yao badala ya kutegemea kuja kunufaika watakapoingia madarakani.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 8 Oktoba, 2024 wakati akizindua zoezi la uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa ajiri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika viwanja vya Sabasaba Kambarage Manispaa ya Shinyanga hafla ambayo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro, Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko, ndg. Bakari Kasinyo aliyemuwakilisha RAS Shinyanga, Waheshimiwa Madiwani na umati mkubwa wa wananchi.

“Nitoe rai kwa wagombea wote ambao wanatarajia kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024 kuhakikisha mnakuwa na shughuli halali za kiuchumi ambazo zinawasaidia kuendesha maisha yenu badala ya kuja kutegemea kipato cha pesa katika nafasi hizi ili muendeshe maisha yenu hiyo hapana” amesema RC Macha

Akizungumza katika viunga hivi vya hafla, Mstahiki Meya Mhe.mElias Masumbuko amewaomba wananchi wenye sifa za kupiga kura kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandisha kwenye Daftari la Wapiga Kura katika Serikali za Mitaa ili waweze kuchagua viongozi bora watakaotimiza malengo yao kwa miaka mitano ijayo.

Zoezi la Uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura linatarajiwa kuanza tarehe 11-20 Oktoba 2024  huku Uchaguzi huu unatarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024 ambapo utafanyika katika mitaa 90, vijiji 506, pamoja na vitongiji 2704 katika Mkoa wa Shinyanga.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa