• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

LAAC YAIPONGEZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: March 28th, 2024

LAAC YAIPONGEZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA


Na. Paul Kasembo - Shinyanga RS.


KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) imeipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya Serikali inayoakisi thamani halisi ya fedha na yenye tija kwa wananch.


Haya yamebainishwa tarehe 27 Machi, 2024 na Kamati hii ambayo imeongozwa  na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Stanslaus Mabula (MB) ambapo katika ziara hii ambayo imejumuisha miradi miķubwa miwili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Shinyanga pamoja na ujenzi wa Soko Kuu, huku wakitoa wito kwa Halmashauri nyingine kuja kujifundisha hapa namna bora ya uendeshaji wa miradi kama inavyofanya Shinyanga Manispaa.


"Tunawapongeza sana Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa utekelezaji bora wa miradi ya maendeleo yenye kuakisi thamani ya fedha na yenye tija kwa wananchi, na kwa msingi huu tuzitake Halmashauri nyingine kuja kujifundisha hapa Manispaa ya Shinyanga namna bora ya kutekeleza miradi ya maendeleo," amesema Mhe. Mabula.


Kukamikika kwa shule ya Wasichana ya Mkoa wa Shinyanga kunatajwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia wanafunzi ambapo itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 880 hadi 1200.


Na kwa upande wa Soko Kuu, kunatajwa kuja kuongeza mzunguko wa biashara, fedha na kuongeza pato la wakazi wa Shinyanga, kuongeza na kuboresha mazingira, kuongeza mvuto na muonekano wa mji ambapo kwa sasa hatua inayofuata ni ufungaji umeme katika mabanda yote 52 ya chini na kukamilisha mabanda 54 yote ya juu ifikapo mwishoni mwa mwaka 2024 ili yatumike yote.


HABARI PICHA

Prof. Siza Tumbo (mwenye suluali nyeusi) akiongoza ujumbe wa Kamati ya LAAC kukagua miundombinu ya Shule ya Sekondari Shinyanga Wasichana.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa