• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MANISPAA YA SHINYANGA YA 18 KITAIFA KATIKA UTOAJI WA HABARI KWA UMMA

Posted on: June 21st, 2024

MANISPAA YA SHINYANGA YA 18 KITAIFA KATIKA UTOAJI WA HABARI KWA UMMA


Na. Paul Kasembo, Dar es Salaam

HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imeshika nafasi ya 18 katika utoaji wa taarifa kwa Umma baada ya  tathimini iliyofanywa  na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia  ya Habari kwa kuangalia namna Wizara, Taasisi, Sekretarieti za Mikao na Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kutoa taarifa kwa Umma kwa kipindi cha mwaka 2023/2024.

Jumla ya Halmashauri 20 zilichaguliwa kulingana na wingi wake, amba0o pamoja na mambo mengine utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa na Serikali ya awamu ya sita ulizingatiwa.

Utoaji wa Tuzo pamoja na Cheti cha pongezi zimetolewa leo tarehe 21 Juni, 2024 na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye (MB) katika kilele cha Kikao Kazi cha 19 cha Maafisa Habari wa Serikali, Itifaki na Mawasiliano Serikalini kilichofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Kipekee pongezi nyingi sana kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga ndg. Alexius Kagunze kwa kuwezesha na kusaidia Kitengo cha Habari kinachotumikiwa na Afisa Habari Bi. Jesca Kipingu kufanya kazi hii kubwa na nzuri ya kuhabarisha umma ikiwa ni utekelezaji wa Takwa la Serikali la kuhakikisha wananchi wanajua nini Serikali yao pendwa inafanya katika kuwaletea maendeleo na kuwasogezea huduma karibu, pongezi pia kwa wadau wote wa habari Manispaa ya Shinyanga.

Picha ikimuonesha Afisa Habari Manispaa ya Shinyanga Bi. Jesca Kipingu akipokea tuzo kutoka kwa Waziri wa Habari Mhe. Nape Nnauye (MB) kwa niaba ya Manispaa yake.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa