• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MARUFUKU KWA WAHAMIAJI HARAMU KUJIANDIKISHA SHINYANGA

Posted on: October 12th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amepiga marufuku kwa yeyote ambaye ni mhamiaji haramu kujiandikisha katika Orodha ya Daftari la Wapiga Kura mkoani Shinyanga na kuiagiza Kamati ya Usalama na Idara ya Uhamiaji kuhakikisha (wasiotambulika kisheria) kutoka nchi za jirani hawapati nafasi hiyo kwa lengo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024 kwani wao si wakazi halali nchini hii kisheria.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 12 Oktoba, 2024 wakati akijiandikisha katika daftari la wapiga kura kwenye Kata ya Lubaga iliyopo hapa Manispaa ya Shinyanga huku akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro (Wakili), Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze, Msimamizi wa Uchaguzi Mkoa wa Shinyanga ndg. Bakari Kasinyo na watumishi wandamizi wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Manispaa.

Katika kuelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utafanyika mwezi Novemba, 2024, Mkoa wa Shinyanga unatarajiwa kuwa na wapiga kura 1,158,025 ambapo Manispaa ya Shinyanga inao jumla ya wapiga kura 126,345, Manispaa ya Kahama 253,078, Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 168,005, Msalala 189,492, Shinyanga 236,621 pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu wapiga kura 184,484.

Ikumbukwe kuwa, Mkoa wa Shinyanga una Mitaa 90, Vijiji 506, Vitongoji 2007 pamoja na Vituo vya kujiandikisha wapiga kura  2,897 huku wito na msisitizo ukitolewa kwa wananchi kutumia fursa na haki yao ya kimsingi ya kugombea nafasi hizo na kushiriki kikamilifu kwenye Uchaguzi huu katika maeneo wanayoishi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa