• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MKANDARASI, TEKELEZA MRADI KWA WAKATI NA KUZINGATIA UBORA

Posted on: November 5th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amemtaka mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme wa REA Mkoa wa Shinyanga kujitahidi kutekeleza mradi huo kwa wakati uliopangwa na kwa kuzingatia ubora kwani miundombinu haina changamoto zozote.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 5 Novemba, 2024 wakati wa utambulisho wa mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme Vijijini katika Vitongoji 90 ambao utanufaisha kaya 2970 Mkoani Shinyanga kupitia kampuni ya wazawa ya Derm Group Ltd ya Jijini Dar Es Salaam.

“Nikupongeze mkandarasi kwa kushinda zabuni hii ya kusambaza umeme kwenye Vitongoji 90 vilivyopo katika mkoa wetu wa Shinyanga lakini nikuagize kwenda kutekeleza mradi huu kwa wakati uliopangwa na kuzingatia ubora wa hali ya juu kwa sababu miundombinu ni salama na haina changamoto zozote ambazo zinaweza kukukwamisha kufanya kazi hii kwa weledi.

Kwa upande wake Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi Mha. Robert Dulle ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia kutoa Shilingi Bilioni 11 zitumike kusambaza umeme kwenye Vitongoji 90 Mkoa wa Shinyanga huku akieleza kuwa tayari maandalizi ya awali ya kutekeleza mradi yameanza.

Akizungumza baada ya utambulisho, Meneja wa mradi wa kampuni ya Derm Group Ltd Mha. Justinus Mutalemwa amesema mpaka sasa mradi huu unaendelea kutekelezwa na utakamilika baada ya muda mfupi kabla ya miezi 24 iliyopangwa kukamilika kwani hakuna changamoto zozote zilizojitokeza.

Mradi huu wa kusambaza umeme kwenye Vitongoji 90 unatekelezwa kwa kipindi cha miezi 24 ambapo utekelezaji ulianza Septemba 20224 na utakamilika tarehe 19 Agosti, 2026 katika majimbo 6 kutoka Wilaya za Shinyanga, Kahama na Kishapu  na utanufaisha kaya 2,970 kwa Mkoa mzima.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa