• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Mwenge wa Uhuru wakamilisha mbio zake Mkoani Shinyanga, Miradi 53 ya sh. Bil. 47.5 yapitiwa

Posted on: May 14th, 2019

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela, amekabidhi Mwenge wa Uhuru mapema leo tarehe 14 Mei, 2019 kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bw. Christopher Derek Kadio baada ya kukamilisha mbio katika Mkoa wa Shinyanga.

Msovela amesema kuwa, Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani hapa umeweza kupitia jumla ya miradi ya maendeleo 53 yenye thamani ya shilingi 47,517,967,547 ambayo imechangiwa na Serikali Kuu, Halmashauri, Wananchi na Wahisani katika sekta za Maji, Afya, Elimu, Kilimo, Mifugo na Mazingira.

Pamoja na miradi hiyo, pia Mwenge wa Uhuru umepitia na kuona jitihada mbalimbali za Mkoa wa Shinyanga za kudhibiti Rushwa, UKIMWI, Malaria na matumizi ya madawa ya kulevya ikiwemo kushuhudia upimaji wa hiyari wa maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ambapo jumla ya wananchi 3836, wanaume wakiwa ni 2508, na wanawake 1228,walipima. Waliokutwa na maambukizi ni 49 sawa na asilimia 1.3

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Bw. Mzee Mkongea Ally pamoja na wenzake wametoa ujumbe wa Mwenge wa Uhuru Mwaka huu 2019 kwa wananchi katika kila Halmashauri ya Wilaya, Mji na Manispaa ambao ni “maji ni haki ya kila mtu, tuvitunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa”

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa kutoka Mkoa wa Geita hapo tarehe 08 Mei, 2019 na kukimbizwa katika Wilaya zote tatu za Kahama, Shinyanga na Kishapu hadi tarehe 13 Mei, 2019.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa