• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWIGULU NA AWESO WASHUHUDIA KUSAINIWA MKATABA

Posted on: June 2nd, 2024

USHETU.

Dkt. Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe. Jamaa Aweso leo wameshuhudia hafla ya utiaji saini mradi mkubwa wa maji wa zaidi ya Bilioni 44 katika Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga Mradi ambao utaanza utekelezaji hivi karibuni na unatarajiwa kukamilika katika kipindi cha miezi 24.

Utekelezaji wa mradi huo utahusisha Ujenzi wa matanki matatu (3) yenye ujazo wa lita 500,000; 300,000 na 100,000 katika maeneo tofauti ndani ya Kata ya Ulowa, pili itahusisha Ujenzi wa bomba kuu aina ya chuma lenye kipenyo cha kuanzia milimita 350 hadi milimita 100 lenye urefu wa kilometa 76 kutoka Manispaa ya Kahama kwenda Ulowa hadi kwenye matanki na kisha itahusisha ujenzi wa mfumo wa kutibu maji na ujenzi wa vituo 35 vya kuchotea maji.

Ujenzi wa mfumo wa usambazaji maji wenye bomba aina HDPE zenye urefu wa KM 74 pamoja na vituo vya kuchotea maji 35, pamoja na uunganishaji wa wateja wa majumbani 1,000 wa awali kwa wateja wa majumbani na Ili kufanya mradi kuwa endelevu, mradi pia utahusisha ujenzi wa jengo la ofisi kwa ajili ya Chombo kitakachoundwa kuendesha mradi na kuwahudumia wananchi baada ya mradi kukamilika, ununuzi wa magari 2 na pikipiki 2.

Pamoja na ununuzi wa seti moja (1) ya vitendeakazi vya msingi vya mafundi bomba pamoja na mashine moja (1) ya kuunganisha bomba aina ya HDPE. Vitendeakazi hivyo na mshine vitatumika kwenye shughuli mbalimbali za matengenezo ya mradi wakati wa uendeshaji, Mradi huu utatekelezwa na Mkandarasi Kampuni ya SIHOTECH ENGINEERING COMPANY LTD ya Jijini Dar Es Salaam kwa kushirikiana na Kampuni ya MPONELA CONSTRUCTION COMPANY LTD ya Iringa. Gharama za Mkataba ni jumla ya Shilingi 44,271,886,678.17.

Manufaa ya mradi huu ni pamoja na kuboresha afya ya wananchi,  utachochea kwa kiasi kikubwa maendeleo ya Halmashauri ya Ushetu kwani utatoa fursa kwa wananchi kujihusisha na shughuli zingine za kiuchumi badala ya kutumia muda mrefu kutafuta maji, kama inavyofanyika sasa. Mradi huu pia utakuwa kichocheo cha maendeleo ya wananchi.


HABARI PICHA


DKT. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso

Mkuu wa Mkoa wa ShinyangaMhe. Anamringi Macha wakati wa utiaji saini mkataba

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa