• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

NATOA SIKU 10 KITUO HIKI CHA AFYA KIWE KIMEKAMILIKA" RC MNDEME

Posted on: December 13th, 2023

MKUU wa shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Ushetu kwa kukamilisha ujenzi ya Wodi ya wanawake ambayo imefikia asilimia 90, ambapo wodi ya watoto imekamilika kwa asilimia 100 katika Kituo cha Afya Ushetu kilichojengwa kijiji cha Mbika Kata ya Ushetu.

Agizo hili limetolewa leo tarehe 11 Desemba, 2023 na RC Mndeme alipotembelea na kukagua ujenzi wa wodi hizi ili kuona maendeleo yake, kituo kinachotajwa kuwasaidia wananchi wa kata ya ubagwe, ushetu, ulowa pamoja wale wanaotoka maeneo jirani ya mkoa wa Tabora na Geita.

"Mkurugenzi, nakupatia siku 10 tu badala ya siku 21 kukamilisha hatua iliyobakia kwakuwa hapa kuna kila kitu, na hakuna sababu kwanini tusimalize haraka ili wananchi waanze kunufaika na huduma hizi", alisema RC Mndeme.

Kukamilika kwa kituo hiki cha afya kinakwenda kuboresha huduma za afya na kuwaondolea adha wananchi ya kutembea umbali wa zaidi ya kilometa zaidi ya 20 kwenda Nyamilangano ambako ndiyo kuna Hospitali ya Halmashauri.

Huu ni muendelezo wa ziara ya RC Mndeme akitembea na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri za mkoa wa shinyanga, ambapo alianza na halmashauri ya wilaya ya shinyanga na leo ni ushetu ambapo tarehe 12 Desemba, 2023 atakwenda halmashauri ya Msalala  na tarehe 13 Desemba, 2023 atakuwa Manispaa ya Kahama.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa