• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC CHACHA ASHIRIKI KUTOA ZAWADI ZA SIKUKUU ZILIZOTOLEWA NA MHE DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE MAKAO YA WATOTO MVUMA - KAHAMA MC,

Posted on: December 27th, 2024

Na. Paul Kasembo, KAHAMA.

KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Chacha ameongoza zoezi la ugawaji wa zawadi za sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kwenye makao ya kulelea watoto yatima ya Mvuma yaliyopo Kata ya Nyasubi, Manispaa ya Kahama huku lengo ni kuwafanya watoto hawa waweze kusherehekea sikukuu kwa amani, umoja na upendo kama watoto wengine.

RC Chacha ameongoza zoezi hili leo tarehe 27 Desemba, 2024 ambapo pamoja na mambo yote amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kutoa zawadi hizi ili watoto wanaotunzwa katika makao ya kulelea watoto yatima waweze kuona wanastahili kuthaminiwa na kupendwa kama watoto wengine katika familia.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nia ya dhati ameamua kutoa zawadi hizi kwenye vituo vya kulelea watoto yatima ili na wao pia waweze kuona wanathaminiwa na kupendwa kama watoto wengine katika familia” amesema RC Chacha.

Akitoa taarifa ya kituo cha Mvuma Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Masoud Kibetu  ameeleza kuwa kituo hiki kinasimamiwa na Manispaa ambapo kinawawezesha watoto hawa kwa mahitaji mbalimbali kama chakula na elimu huku akiishukuru Serikali kwa msaada huu kwani watoto hawa wanauhitaji sana ili waweze kuishi kwa furaha.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa