• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MACHA AWASHUKURU THPS KWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI

Posted on: June 19th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa mkoa wa Shinyanga Annamringi Macha amekabidhiwa samani za ofisi 397 na Shirika la Tanzania Health Promotion  and Support (THPS)  kupitia  mradi wa Afya hatua unaofadhiliwa na mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kupambana na Maambukizi ya virusi vya Ukimwi na Kifua Kikuu (PEPFAR), Kupitia kituo cha kudhibiti Magongwa (CDC) Tanzania huku akiwapongeza na kuwashukuru kwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika Sekta mbalimbali ikiwemo Afya.

Macha amepokea samani hizi tarehe 19 June, 2024 hafla iliyofanyika katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga huku akizitaja samani hizi kuwa ni Kabati za kutunzia Mafail, viti, Meza, Benchi za kukaa wagonjwa wakisubiri huduma, kabati ya kuhifadhia dawa zote zikiwa na thamani ya shilingi 295,326,860.

"Nwashukuru sana THPS kwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika Sekta mbalimbali ikiwemo Afya jambo ambalo litaboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wetu wa Shinyanga na maeneo jirani,"amesema RC Macha.

"RC Macha amesema  vifaa hivi vinatakiwa kutunzwa hata mgonjwa akija akaa sehemu nzuri kusubiri matibabu itakuwa vizuri na nakuona  ahueni kwake  nawaomba  kusiwepo eneo la kurundika vifaa hivi kuwa chakavu  vitunzwe na watumishi wasife moyo kutekeleza majukumu yao hata kama wachache," RC Macha amesisitiza.

Kwa upande wake Meneja mradi afya hatua kutoka THPS  Mkoa wa Shinyanga Dr. Amos Scott  akisoma  hotuba mbele ya mgeni rasmi na kukabidhi Samani za hospitali amesema hadi kufikia mwezi Machi 2024  wamefikiwa wataalamu ambao wapo kwenye vitengo vya Famasia, Maabara na takwimu ya jumla yao ni 92 na kuwafikia wapokea huduma za tiba na matunzo 70,089.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa