• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME APOKEA MWEKEZQJI MPYA

Posted on: December 14th, 2023

Leo tarehe 14 Desemba 2023 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amempoka Mwekezaji mkubwa wa Kiwanda cha Vifaa vya Plastiki cha Kampuni ya MAISHA UNDERTAKING COMPANY LIMITED kilichopo Kibaha, Pwani (Mr Jiwen Yang) kwa lengo la kujitambulisha.

Lakini pia wamekuja na dhamira kuu ya kumfahamisha RC Mndeme kwamba wanatarajia kujenga kikubwa cha kuzalisha bidhaa za plastiki katika eneo la Nhelegani Manispaa ya Shinyanga na Manispaa ya Kahama ambapo bidhaa hizo zitasambazwa katika mkoa wa Shinyanga na mikoa, mikoa yq jirani na mikoa yote ya kanda ya Ziwa na nchi za jirani.

Mwekezaji Mr Jiwen Yang ambaye kampuni yake imepata ardhi yenye ukubwa wa hekta 3 eneo la Nhelegani ambapo atajenga kiwanda na maghala makubwa ya bidhaa hizo, huku akimhakikishia RC Mndeme kuwa ataleta wawekezaji wengi zaidi kutoka nchini China ili wawekeze mkoa wa Shinyanga.

"Nakuahidi Mhe. RC Mndeme kuwa, nimevutiwa sana kuwekeza mkoani kwako hapa shinyanga kwakuwa nimeona siasa ni safi, uongozi borĂ , miundombinu ipo safi na rasilimali za kutosha hapa, hivyo ninawekeza na pia ninakwenda kuwashawishi na wengine waje kuwekeza mkoa aa shinyanga", amesema Mr Jiwen Yang.

Kwa upande wa Mkoa RC Mndeme amesema mwekezaji atapata ardhi zaidi yenye ukubwa wa hekta 20 katika Manispaa ya Shinyanga na hekta zingine 20 katika Manispaa ya Kahama kwakuwa wakurugenzi wamethibitisha hili wakurugenzi hawa waliokuwepo katika kikao cha leo. Asante sana Mhe Christina Mndeme kwa ushirikiano mkubwa uliotupatia leo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa