• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC ,MNDEME ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UJIO WA MWENGE KWA MIRADI YA SHY DC NA KAHAMA MC.

Posted on: July 18th, 2023

Na. Shinyanga RC.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme amesema kwamba Mwenge wa Uhuru ambao utakimbizwa mkoani humo utazindua, kukagua pamoja na kutembelea miradi ya maendeleo 42 yenye thamani ya Bilioni 13.4.

Mwenge wa uhuru katika Mkoa wa Shinyanga unatarajiwa kupokelewa Julai 27 mwaka huu, na utakimbizwa katika Halmashauri sita za mkoa huo, ambazo ni Kishapu, wilaya ya Shinyanga, ushetu, Msalala, Manispaa ya Kahama na Shinyanga.

Mndeme alibainisha hayo juzi wakati akikagua miradi ya maendeleo ambayo itapitiwa na Mwenge huo wa Uhuru katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na Manispaa ya Kahama.

Alisema, ameridhishwa na Maandalizi ya Miradi ya Maendeleo ambayo itatembelewa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri hizo mbili za Shinyanga na Kahama, na kwamba ziara hiyo ni endelevu kwa kutembelea halmashauri zote kuona miradi ambayo itapitiwa na Mwenge wa Uhuru.

"Nimetembelea miradi ya Elimu,Afya,Mazingira, Kilimo, Miundombinu, na uwezeshaji wananchi kiuchumi miradi yote ni mizuri," alisema Mndeme.

Aidha, aliwaomba wananchi wa Mkoa wa Shinyanga wajitokeze kwa wingi kuupokea Mwenge huo wa Uhuru, ambapo utakuwa ukipita katika maeneo yao pamoja na kuwazindulia Miradi mbalimbali ya maendeleo.

Naye Mratibu wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Manispaa ya Kahama Sadick Kigaile, alitaja Miradi ya Maendeleo ambayo itapitiwa na Mwenge wa Uhuru ni Miradi ya Kilimo, Shamba la Miti, Ofisi ya Kata Nyihongo, Jengo la Maabara Hospitali ya wilaya Kahama, miundombinu ya Barabara, na uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake kiuchumi na shule ya Sekondari kagongwa.

Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Miradi ambayo itapitiwa na Mwenge wa Uhuru ni Kikundi cha Vijana Wabunifu Kata ya Busanda, Mashine ya kukomboa nafaka na kuongeza thamani ya Mazao Kata ya Didia, na kikundi cha Ufugaji nyuki pamoja na Miradi ya Elimu na Afya.

Picha ikimuonesha Mhe. Christina Mndeme kushoto akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Ndg. Anderson Msumba wakikagua jengo la uchunguzi wa magonjwa na mionzi

 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa