• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AWATAKA AKINA MAMA KWENDA NA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN - MWAKA 2025

Posted on: October 12th, 2023

Na. Shinyanga RS

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme ameongoza kongamano la Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa  mambo makubwa anayofanya kwa wanashinyanga katika kuwaletea maendeleo huku akiwataka kwenda na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi utakaofanyika mwaka 2025.

RC Mndeme amesema Mkoa wa Shinyanga wameua kumpongeza Rais wetu kwa sababu ya utekelezaji wake mzuri wa kazi kwa wqnanchi hasa katika kuwwletea maendeleo ambapo alisema vijiji vyote 506 vya mkoa wa shinyanga vimefikiwa kupitia sekta mbalimbali jambo ambalo limemsukuma yeye na kuumpa nguvu zaidi ya kuyasemea mazuri yote yqbayofabywa huku akisisitiza kuwa Shinyanga ya sasa siyo ya zamani.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi yenye tija kwa watanzania na hasa wanashinyanga, hivyo leo tupo hapa kwa ajili ya kumpongeza na kuhakikisha tunakwenda nae mwaka 2025 na kuvuka nae kwakuwa shinyanga ya sasa siyo ya zamani na kila vijiji kimefikiwa na hakuna kilichosimama kazi inaendelea kwa vitendo,"alisema Mhe. Mndeme

Kwa upande wa viongozi kutoka mikoa jirani walisema kuwa, alichokifanya Mhe. Mndeme kimewaamsha sasa na wao kwenda kutekeleza katika mikoa yao huku wakimpongeza kwa ubunifu na uchapaji kazi wake katika kuwahudumia wananchi wa mkoa wa shinyanga ambapo maendeleo sasa yanaonekana kwa kasi.

RC Mndeme ameanzisha Kauli Mbiu isemayo "Kupitia utekelezaji mzuri wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kila kijiiji kimefikiwa" akiwa na maana ya kuwa, hivi sasa mkoa wa shinyanya umefikiwa kila kijiji kupitia sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, maji, miundombinu, nishati, uwezeshaji wananchi kiuchumi, kilimo, mifugo

Katika kongamano hili ambalo liliongozwa, kusimamiwa na kutekelezwa na Mhe. Johari Samizi mkuu wa wilaya ya shinyanga, pia lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti CCM Mkoa wa Shinyanga ndg. Mabala Mlolwa, DC Mboni Mhita na wengine wengi kutoka mikoa jirani.


HABARI PICHA






Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa