• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AZITAKA HALMASHAURI ZOTE MKOANI SHINYANGA KUKAMILISHA MIRADI UJENZI WA BOOST KABLA YA JULAI 10, 2023

Posted on: July 3rd, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme amizitaka Halmashauri zote ndani ya Mkoa wa Shinyanga kukamilisha ujenzi wa miradi ya Boost kabla ya tarehe 10 Julai, 2023 ili wananfunzi waweze kuanza kunufaika na miundombinu hiyo.

Mhe. Mndeme ameyasema hayo alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa matatu (3) na matundu ya vyoo (3) katika Shule ya Msingi Busongo iliyoka Halmashauri ya Msalala na Shule mpya yenye jumla ya madarasa 16 inayojengwa Manispaa ya Kahama ambayo alipendekeza iitwe jina la SHULE YA MSINGI ANDERSON ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake mkubwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Manispaa ya Kahama huku akiwaagiza viongozi wa Kamati za Shule na wananchi kuitunza miradi hiyo.

"Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametuletea fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ikiwamo hii ya Elimu, naziagiza Kamati za Shule zote Mkoani hapa kuhakikisha tumshukuru zaidi Mhe. Rais kwa kuilinda miundombinu hii ili ije kuwanufaisha na vizazi vijavyo na muhakikishe mnaikamilisha kabla ya tarehe 10 Julai, 2023 na hili ni kwa Halmashauri zote hapa Shinyanga," alisema Mhe. Mndeme.

Mkoa wa Shinyanga pamoja na mambo mengine, kwenye sekta ya elimu inajenga Shule za Msingi 9 mpya, madarasa 84 na matundu ya vyoo 133 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Boost.













ReplyForward






Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa