• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

REKEBISHENI KASORO ZILIZOJITOKEZA MBIO YA MWENGE WA UHURU 2023 - RC MACHA

Posted on: April 8th, 2024

Na. Paul Kasembo - SHY RS

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amezitaka Halmashauri zote za Mkoa wa Shinyanga kurekebisha kasoro zote zilizojitokeza kwenye Mnio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 ili kama Mkoa uweze kupata alama bora, nzuri zenye kuwezesha kupata ushindi.

Haya ameyasemamleo tarehe 8 Aprili, 2024 katika kikao cha kwanza cha Maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2024 kilichofanyika katika Ukumbi wa Lewis Kalinjuna Manispaa ya Shinyanga na kuhudhuriwa na wataalam mbalimbali kutoka Wilaya na Halmashauri zote za Mkoa wakionhozwa na RAS Shinyanga Prof. Siza Tumbo na Wakuu wa Usalama Mkoa huku akisisitiza kila mmoja kutimiza wajibu wake.

"Nizitake Halmashauri zote za Mkoa wa Shinyanga kwenda kurekebisha kasoro zote zilizojitokezamwaka 2023 katika Mbio za Mwenge wa Uhuru, ili mwaka huu wa 2024 tupate alamanzuri zitakazotupatia ushindi," amesema Mhe. Macha.

Akimkaribisha katika kikao kazi hiki, Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo amesema kuwa, pamoja na mambo mengine lakini Mkoa wa shinyanga unatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru tarehe 10 Agosti, 2024 kutokea Mkoa wa Simiyu na kukabidhi Mkoa wa Tabora tarehe 16 Agosti, 2024.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kahama alisisitiza na kuweka mkazo zaidi katika Miradi ya uwezeshwaji vijana kiuchumi na umuhimu wa kutumia wajasiriamali wa ndani ya Halmashauri na Wilaya zetu ili kuongezaia mzunguko wa redha katika eneo husika.

Kando na maelekezo haya, RC Macha ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kuwa mshindj namba 11 Kitaifa kwenye Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 ambapo amesema kuwa ni hatua nzuri sana kitaifa huku akizitaka Halmashauri zote kwenda kujiandaa vema na ujio wa Mwenge ifika Agosti, 2024.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa