• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI ZENU - RC MNDEME

Posted on: October 18th, 2023

Na. Shinyanga RS

MKUU wa mkoa wa shinyanga Mhe. Christina Mndeme amesema kuwa serikali inatambua na kuthamini kazi zote zinazofanywa na Walinzi wa Jadi (sungusungu) katika maeneo yao huku akiwataka kutekeleza wajibu wao kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zote za nchi ili kuepusha hali ya sintofahamu kutoka kwao kwani wao wanamchango mkubwa sana katika kulinda amani ya nchi yetu.

Mhe. Mndeme ameyasema hayo leo tarehe 18 Oktoba, 2023 alipokuwa akizungumza katika sanjo iliyojumuisha machifu, watemi, viongozi na sungusungu wa mikoa mitano ya Mwanza, Simiyu, Geita, Tabora na wenyeji Shinyanga kwa lengo la kufahamiana, kuhuisha majukumu yao ya kila siku, kusikiliza na kutatua kero zao hafla iliyojumuisha pia viongozi wa serikali zikiwemo Kamati ya Usalama, Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo, mkuu wa wilaya Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita, mbunge wa Jimbo la Kahama Mhe. Jumanne Kishimba na wengine wengi.

"Ndugu zangu wanausalama Walinzi wa Jadi maarufu sungusungu wa sanjo hii ya mikoa mitano ya mwanza, simiyu, geita, tabora na mkoa wetu wa shinyanga ambao ndiyo wenyeji wa sanjo hii, nipende kuwaeleza kuwa serikali inatambua na kuthamini sana kazi zenu hizi kwa jamii. Lakini nawataka nanyi kwenda kufanya kazi zenu kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi ioi kuendeleq kuaminika kwa umma ambao umnqutumikia" alisema Mhe. Mndeme.

Sajali na hayo, Mhe. Mndeme pia amewaagiza viongozi wote mkoa wa shinyanga kuhakikisha wanawapatia ushirikiano wa kutosha sungusungu hao kwani wanamchango mkubwa sana katika kulinda amani, kukuza uchumi na kutumikia taifa letu kwa ujumla huku akiwqkumbusha wajibu wa kupanda miti na kutunza mazingira pamoja na kupinga ukatili wa kijinsia miongoni mwetu.

Awali akitoa salamu za kitaifa Mshauri wa Sungusungu Taifa ndg. Idi Ame pamoja na kuwapongeza lakini alishauri walinzi wa jadi kuwa na sare ya nguo zao pamoja na fimbo zao pia ioi kuondoa sintofahamu ya mavazi yao kamq yalivyo sasa hivi.

Kwa upande wake Mhe. Kishimba alishauri sungusungu kuwa na mfuko wa kusaidizana kwenye shida na raha, kuwepo na bima afya kwa familia zao.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa