• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YA MKOA WA SHINYANGA YAJIPANGA KUONDOA KABISA UGONJWA WA KUHARA NA KUTAPIKA

Posted on: January 9th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme amesema kuwa, kufuatia uwepo wa Ugonjwa wa Kuhara na Kutapika, Serikali ya Mkoa imejidhatiti vema kuondoa kabisa huku akiwataka wananchi kufuata na kuzingatia ushauri unaotolewa na wataalam wa afya.

Haya yamesemwa na RC Mndeme alipokuwa akizungumza na wanahabari juu ya uwepo wa ugonjwa huu mkutano ambao umefanyika leo tarehe 9 Jan, 2024 ofisini kwake.

"Serikali ya mkoa tumejidhatiti vema kuondoa kabisa ugonjwa huu wa kuhara na kutapika, lakini pia nitumie nafasi hii kuwaomba wananchi kufuata na kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya ili kujinga na kudhibiti hali hii", amesema RC Mndeme.

Tarehe 28 Desemba, 2024 katika kata ya Kagongwa iliyopo Manispaa ya Kahama hapa mkoa wa shinyanga kulitokea vifo vya watu 5 ambavyo vilisababishwa na ugonjwa wa kuhara na kutapika.

Aidha, RC Mndeme amesema baada ya hapo serikali iliunda timu ndogo ya kuratibu na kufuatilia ugonjwa huo, ambapo baadae ilibaini uwepo wa wagonjwa 18 wa kipindipindu 15 kutoka Manispaa ya Kahama, wagonjwa 2 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu na 1 kutoka Manispaa ya Shinyanga.

Kando na jitihada hizo, pia serikali imetenga Kambi tatu maalum za kufanya matibabu ya ugonjwa huu ambazo ni Kituo cha afya Ihapa kilichopo Manispaa ya Shinyanga, Kituo cha afya Kagongwa Manispaa ya Kahama, Kituo cha afya Kishapu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa