• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SHINYANGA MC WAFANYA MAFUNZO ELEKEZI YA KIELEKTRONIKI YA MFUMO WA MUKI KWA WATUMISHI WAKE

Posted on: September 16th, 2023

Na. Shinyanga RC.

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imefanya mafunzo elekezi ya kieletroniki ya mfumo wa MUKI kwa watumishi wake kwa muda wa siku mbili katika ukumbi wa shule ya msingi Buhangija Kata ya Ibinzamta huku Bi. Getruda Gisema akisema kuwa ujio wa mafunzo haya unakuja kurahisisha kazi na kupunguza gharama za uendeshaji.

kuanzia leo tarehe 15 mpaka 16 Septemba, 2023 kwa watumishi wa Manispaa katika ukumbi wa shule ya msingi Buhangija iliyopo katika kata ya Ibinzamata.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo haya Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Bi Getruda Gisema amewaeleza wataalami kuwa mafunzo haya yameletwa na Serikali kwa nia njema kabisa ambapo utendaji kazi kwa watumishi utarahisishwa sanjari na kupunguza gharama za matumizi mbalimbali ukizingatia mfumo huu ni wa kidigitali jambo ambalo linakwenda kuondoa matumizi ya shajala na kuanza kwa matumizo ya vishikwambi na kompyuta mpakato.

"Kupitia mfumo huu wa MUKI utaenda kusaidia watumishi kuweza kujua kanuni na maadili ya kiutumishi, majukumu yao ya kitaaluma na kujua stahiki zao mbalimbali pamoja na kujifunza mambo ya kiutumishi muda wowote na mahali popote kwa njia ya kieletroniki," alisema Gisema..

MUKI ni Mwongozo wa Mkufunzi wa Mfumo wa Ujifunzaji wa Kielekitroniki ambao kwa Manispaa ya Shinyanga mafunzo yamefanyika kwa siku mbili, yaani tarehe 15 na 16 Septemba, 2023 katika ukumbi wa shule ya msingi Buhangija.

PICHA NA MATUKIO



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa