• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TANI ELFU 2 ZA MBEGU YA PAMBA KUTOLEWA BURE KISHAPU – MHE. BASHE

Posted on: November 20th, 2024

Na. Paul Kasembo, KISHAPU.

WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amezindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine amewaeleza wananchi kuwa, kwa msimu wa kilimo cha mwaka huu wa 2024 Serikali imeleta takribani Tani Elfu 2 za mbegu ya pamba Wilaya ya Kishapu ambazo zitatolewa bure kwa wakulima wa zao la pamba zenye thamani ya zaidi ya Bilioni 2 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mfumo wa kutoa ruzuku kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga.

Mhe. Bashe ameyasema haya leo tarehe 20 Novemba, 2024 wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kata ya Bubiki, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, ambapo amehutubia mkutano huu akiwa mgeni rasmi, uzinduzi ambao umehudhuriwa na viongozi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa, Wilaya, wanachama na wananchi, ambapo pamoja na mambo mengine amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana bega kwa bega na wakulima hao wa pamba kwani mpaka sasa wameshatoa trekta 24 kati ya 30 kwa ajiri ya kuboresha, kuimarisha na kuwezesha kuwa na kilimo cha kisasa na chenye tija.

“Serikali inafanya jitihada kubwa kuboresha zao la pamba katika Wilaya ya Kishapu kwani mpaka sasa takribani Tani Elfu 2 za mbegu ya pamba zenye thamani ya Bilioni 2  zimewafikia wakulima, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mfumo wa kutoa ruzuku kwa wakulima wa pamba” amesema Mhe. Bashe.

Kwa ujumla, Wilaya ya Kishapu inatarajiwa kupokea dawa ya kuulia wadudu/ viwatilifu chupa Milioni 1 vifaa vya kilimo (trekta 30 ambapo kila kijiji kitapokea trekta 5, lakini pia kila kata kwa sasa ina Afisa Ugani Kilimo mmoja (1) wa zao la pamba huku akiahidi kwamba kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 mtandao wa maji ya Ziwa Viktoria utakuwa umewafikia wanabubiki na Kishapu yote kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa