• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TANZANIA INAZIDI KUPIGA HATUA KIMAENDELEO TANGU UHURU – DC MTATIRO,

Posted on: December 9th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amesema kuwa Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa kimaendeleo katika Sekta mbalimbali nchini tangu  tupate uhuru mwaka 1961 kwani mpaka sasa uwekezaji unazidi kuongezeka na hivyo kutokeza fursa kwa wananchi hususani vijana kujiingizia kipato na kukuza uchumi wa Taifa.

Wakili Mtatiro ameyasema haya leo tarehe 9 Desemba, 2024 wakati wa Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha, maadhimisho ambayo kimkoa yamefanyika katika Shule ya Msingi Mhangu iliyopo Kata ya Salawe Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali.

“Tangu Tanzania tupate uhuru mwaka 1963, tumeendelea kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika Sekta mbalimbali zikiwemo kilimo, elimu, afya, maji, miundombinu nk. kwani mpaka sasa uwekezaji unazidi kuongezeka na hivyo kutokeza fursa nyingi kwa vijana kujiingizia kipato na hatimaye kuchangia kukuza uchumi wa Taifa letu” amesema Mtatiro.

Aidha ameongeza kwa kuwasisitiza wananchi mkoani Shinyanga kushiriki katika zoezi la upandaji miti katika maeneo wanayokaa kwa kushirikiana na viongozi wa Vijiji na Vitongoji ili kuifanya Shinyanga iwe ya kijani na ya kuvutia zaidi.

Maadhimisho haya kwa Mkoa wa Shinyanga yameambatana na shughuli mbalimbali za kijamii zikiwemo upandaji miti, upimaji afya na burudani mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuenzi na kudumisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa Wanashinyanga.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa