• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TENGENEZENI TIMU MAALUM YA KUSHUGHULIKiA HOJA ZA CAG - RC MACHA

Posted on: June 25th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHINYANGA MC.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amezishauri Halmashauri zote 6 zinazounda Mkoa kutengeneza timu maalum kwa ajili ya kushughulikia hoja mbalimbali za Mdhibiti na Mkuguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na nyinginezo kwa lengo la kuziondoa kuzipunguza kama siyo kuzifuta kabisa huku akisisitiza kuongezwa juhudi za ukusanyaji mapato na utoaji wa elimu ya wananchi kuwa na uhiari wa kulipa bila shuruti ili miradi ya Serikali iweze kutekelezeka.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 25 Juni, 2024 alipokuwa akitoa mchango wake katika Baraza Maalum la kujadili mapendekezo ya hoja za CAG katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambapo pamoja na kuwapongeza kwa kupata Hati Safi ya CAG lakini pia wameibuka washindi namba 1 katika mashindano ya Halmashauri Kitaifa 2024 katika Usafi wa Mji na Utunzaji wa Mazingira pamoja na kushika nafasi ya 18 Kitaifa katika utoaji wa habari dhidi ya Halmashauri 184 ushindi ambao unaiongezea morali Manispaa katika utendaji kazi wake.

"Nazishauri sana Halmashauri zote ndani ya Mkoa kuangalia namna ya kutengeneza Timu Maalum isiyozidi watu 5 pamoja na majukumu yao lakini pia kushughulikia hoja za CAG wakati wote badala ya kusubiria wakati wa ukaguzi ndiyo wataalam waanze kupambana na hoja hizi, kwa kufanya hivi Halmashauri zitapunguza kama siyo kuzimaliza kabisai," amesema RC Macha.

Kwa upande wake RAS Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo amezishauri Halmashauri kuachana na mpango wa kuanzisba miradi mipya, badala yake ishughulike na umaliziaji wa vipolo vya mwaka uliopita huku akisisitiza kuwa ni vema mradi unapoanzishwa utekelezwe mpaka mwisho kishauanzishwe mwingine, kwa kufanya hivi tija ya miradi itaonekana.

Aidha Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Nje Mkoa wa Shinyanga CPA. Yusuph Mabwe ameishauri Manispaa kuzingatia sana taratibu za kifedha na kama wanakwama popote ofisi yake ipo wakati wote kuhakikisha wanashirikiana katika kuziondoa changamoto zote.

Akiahirisha mkutano huu Mstahiki Meya Mhe. Elias Masumbuko amesema, Manispaa ilikuwa na hoja 43 ambapo 7 na 36 hazijafungwa.


HABARI PICHA




Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa