• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TUNAMPONGEZA NA KUMSHUKURU MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUENDELEA KUJALI AFYA ZA WANANCHI

Posted on: June 23rd, 2025

#shinyanga_rs

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, kwa niaba ya wananchi wa Shinyanga, amempongeza na kumshukuru kwa dhati Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuimarisha huduma za afya nchini, ikiwa ni pamoja na kuleta timu ya Madaktari Bingwa 43 walioanza kutoa huduma katika Mkoa wa Shinyanga kuanzia tarehe 23 hadi 28 Juni 2025.

Akizungumza katika hafla ya kuwapokea Madaktari hao iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mhe. Macha aliwataka wananchi wa Shinyanga kujitokeza kwa wingi katika Halmashauri zote sita za Mkoa ili kunufaika na huduma za Kibingwa zitakazotolewa kwa siku hizo sita mfululizo.

“Ninamshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika afya za wananchi wetu. Kupitia jitihada zake, tumepokea Madaktari Bingwa 43 kutoka Wizara ya Afya watakaotoa huduma katika Halmashauri zote sita za Mkoa wetu. Naomba Wanashinyanga tujitokeze kwa wingi kutumia fursa hii muhimu,” alisema Mhe. Macha.

Aidha, Mhe. Macha alieleza mafanikio ya Sekta ya afya ndani ya miaka minne ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa kiasi cha takribani Shilingi Bilioni 77 kimetolewa kwa Mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya afya, ununuzi wa vifaa tiba na dawa.

“Kwa mwaka 2021 tulikuwa na Hospitali za wilaya mbili pekee, lakini ndani ya miaka minne ya uongozi wa Mhe. Rais, sasa tuna Hospitali saba za Halmashauri na pia huduma zimeanza kutolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa yenye vifaa tiba vya kisasa pamoja na Madaktari Bingwa,” alisisitiza RC. Macha.

Kwa upande wake, Dkt. Grace Mariki ambaye ni kiongozi wa timu ya Madaktari Bingwa kutoka Wizara ya Afya, alisema kuwa timu hiyo inajumuisha Madaktari wa fani mbalimbali zikiwemo magonjwa ya wanawake, watoto, upasuaji, magonjwa ya ndani, kinywa na meno, ganzi, masikio, pua pamoja na koo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA TATU YA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA – 2025

    July 01, 2025
  • RC. ANAMRINGI MACHA AKABIDHI OFISI KWA RC. MBONI MHITA

    July 01, 2025
  • RC. MBONI MHITA ASHIRIKI KIKAO KILICHOONGIZWA NA MHE. MCHENGERWA JIJINI DODOMA

    June 28, 2025
  • NAIPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA KWA URATIBU MZURI WA USHIRIKI WA WAFANYABIASHARA KATIKA MAONESHO YA SABASABA - MASUDI KIBETU

    June 28, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa