• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Viongozi wa Dini Shinyanga washauriwa kufikisha Imani vijijini

Posted on: January 10th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewashauri viongozi wa dini Mkoani Shinyanga kufika vijijini kutoa masomo ya kiimani kwa wananachi ili wapate hofu ya Mungu na kupunguza vitendo vya uhalifu ikiwemo mauaji.

Mhe. Telack ameyasema hayo katika mkutano na wananchi wa kata ya Bunambiyu Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga akiwa kwenye ziara yake ya kukagua shughuli za kilimo na elimu anayoendelea nayo Mkoani hapa.

Telack amesema kuwa iwapo wananchi watakuwa na hofu ya Mungu kutokana na Imani ya dini hawawezi kuuana, kwani kumekuwa na matukio mengi ya wananchi kuuana katika kata hiyo hali inayosababisha kuharibu sifa ya Bunambiyu, Wilaya ya Kishapu na Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla pamoja na kuwa ni kata yenye ardhi nzuri.

Amewataka kuacha kuchukua sheria mkononi kwa sababu ya ugomvi wa ng’ombe au wizi badala yake watoe taarifa za uhalifu Polisi, kwa Mkuu wa Wilaya au yeye mwenyewe itakapobidi.

Amesema vyombo vinavyoshghulika na sheria vipo, hivyo hataki kusikia tena mauaji katika kata hiyo kuanzia sasa kwani wahalifu wakikamatwa watapata hukumu inayostahili kutokana na makosa wanayofanya.

Amesema pia mwananchi yeyote atakayekamatwa na kosa la kuchukua sheria mkononi atakamatwa na kupewa adhabu inayostahili kwa sababu ndiyo utaratibu wa Serikali, hivyo wenye tabia hiyo waache mara moja.

Wakati huo huo Mhe. Telack amewataka viongozi wa vijiji kuwa na utaratibu wa kuwa na mikutano ya vijiji ili kupunguza majungu na hisia mbaya kwa wananchi.

Amesema kuwa uwazi kwenye kila jambo ikiwemo kutoa taarifa za miradi inayotekelezwa kutokana na michango ya wananchi.

“Tunataka uwazi kwa kila kitu, wananchi waambiwe fedha zao zimefanya nini, wakisema hawapati taarifa ya mapato na matumizi tunawakamata viongozi ili kujiridhisha fedha iliyochangwa imefanya kazi gani, ndiyo utaratibu”

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa