• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAKANDARASI ZINGATIENI UADILIFU, UZALENDO NA UBORA WA KAZI - RC MACHA

Posted on: October 4th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamiringi Macha amewataka wakandarasi wa barabara waliopata zabuni kuwa wazalendo na waadilifu wanapokwenda kutekeleza miradi ya ujenzi wa barabara katika Mkoa wa Shinyanga huku akiwasisitiza kufanya kazi kwa bidii, weledi, uzalendo na kuzingatia viwango bora vya barabara.

RC Macha Ameyasema haya leo tarehe 4 Oktoba, 2024 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati akishuhudia hafla ya utiaji saini mikataba 33 ya matengenezo ya barabara za TARURA mkoani Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Hafla hii ambayo pia imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni, Mkuu wa DC  wa Kahama Mhe. Mboni Mhita na wadau wengine inajumlisha wakandarasi 21 katika miradi ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa Km. 716, mitaro yenye urefu wa Mita 5,280 madaraja madogo 381, makubwa 4, uwekaji wa taa za barabarani pamoja na barabara ya lami yenye urefu wa Km. 2.8 huku thamani ya miradi ni zaidi ya bilioni 10.

“Ninawataka wakandarasi wote 21 ambao mmepata zabuni hii ya ujenzi wa barabara kuwa na uzalendo, uadilifu, weledi na ubora wa kazi mnapokwenda kutekeleza miradi hii kwa sababu Serikali kupitia fedha za ndani imetoa pesa nyingi ili kuhakikisha inakamilika na kuwanufaisha wananchi wetu ambao ndiyo walengwa," amesema RC Macha.

Akiwasilisha taarifa ya miradi ya ujenzi, Meneja wa Wakala wa Barabara wa Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Shinyanga Mha. Avith Theodory amesema wamepokea fedha za miradi hii kutoka kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia vyanzo vya mfuko wa barabara, tozo ya mafuta na mfuko wa jimbo huku akisema anayo imani kuwa wakandarasi waliopata zabuni hii wataenda kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa mikataba ili kufikia malengo kusudiwa.

Miradi hii ya ujenzi inatarajiwa kukamilika ifikapo mwaka 2025 huku ikitegemewa kuwanufaisha wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kwa kutoa ajira zenye zenye ujuzi mdogo kwa jamii inayozunguuka maeneo ya miradi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa