• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

WAKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA NA KAHAMA TENGENI CHUMBA/VYUMBA KWA AJILI YA OFISI YA DAWATI HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII - CP. HAMDUNI

Posted on: February 11th, 2025

KATIBU Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga na Kahama kuhakikisha wanatenga Chumba/Vyumba maalum kwa ajili ya kutumia kama ofisi za Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii na ambavyo vitakuwa vikipatikana katika Stendi zao za Mabasi huku akiwataka kwenda kuhakikisha wanapunguza kabisa kama siyo kuokoa kabisa watoto wanaokimbilia katika Majiji makubwa.

Hayo yanesemwa leo tarehe 11 Februari, 2025 wakati akifungua Kikao cha Utambulisho wa Uanzishwaji wa Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii kwa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga (Manyoni) na Kahama kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga na kuhudhuriwa na wajumbe mbalimbali kutoka TAMISEMI, Shirika la Railway Children Africa (RCA), Ofisi ya RPC Mkoa wa Shinyanga, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Sekretarieti ya Mkoa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

CP. Hamduni ameipongeza sana Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kushirikiana na Shirika la Railway Children Africa (RCA) kwa kuleta mradi huu katika Mkoa wa Shinyanga pamoja na Mikoa mingine na kwamba anaamini kupitia mafanikio yaliyoonekana katika Mikoa ya Mwanza na Dar Es salaam ndio imepelekea mradi kupanuka katika Mikoa mingine 10 ikiwemo Shinyanga zaidi ili kunusuru hali ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani.

Mkoa wa Shinyanga ni moja ya Mikoa yenye changamoto ya watoto wanaoshi na kufanya kazi mtaani hususani katika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama ambapo wanapokea mpaka watoto wanaotoka Nchi za jirani.

Changamoto hii imepelekea watoto hao kujifunza na kujiingiza katika tabia hatarishi zaidi na wakati mwingine kutumwa na watu wazima katika matukio ya wizi, uporaji, biashara ya ngono, ulevi na matumizi ya dawa za kulevya na jitihada ambazo zimekuwa zikifanyika kupitia Halmashauri, Idara ya Uhamiaji na Polisi ni kuwabaini kuwafanyia tathmini, kuwahifadhi sehemu salama na kisha kuwaunganisha na familia zao.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa