• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Watumishi wa Afya wenye lugha chafu waonywa

Posted on: April 21st, 2017


Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela ameahidi kuwachukulia hatua kali na stahiki watumishi wa afya katika Mkoa wa Shinyanga watakaoabainika kutoa lugha chafu kwa wagonjwa na kwenda kinyume na taratibu na sheria za utumishi wa Umma.

Bw. Msovela ametoa kauli hiyo wakati wa kikao cha uhamasishaji kwa viongozi wa dini kuhusu mfuko wa bima ya afya kwa wananchi wa CHF iliyoboreshwa kilichofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga jana.

Msovela amesema kuwa, watumishi hao hawatavumiliwa kwa sababu watakuwa wanakwenda kinyume na sheria za Utumishi wa Umma na katiba.

“Ni kweli kuna matatizo ambayo Serikali imeyaona kuhusu Wahudumu wa Afya ya kukosa uadilifu, atakayebainika anakwenda kinyume na sheria na taratibu za utumishi wa Umma atachukuliwa hatua stahiki na hakuna huruma itakayotolewa”.

Aidha, ameomba ushirikiano pia kutoka kwa viongozi hao wa dini kwa kusaidia kutoa taarifa kwa Mganga Mkuu wa Mkoa na yeye mwenyewe Katibu Tawala Mkoa ili waweze kufuatilia na kujiridhisha ambapo ametoa namba za simu kwa viongozi hao. “Nia ya Serikali ni kutoa huduma bora kwa wananchi, sheria lazima zisimamiwe”

Awali wakati wa majadiliano ya uhamasishaji wa CHF iliyoboreshwa, baadhi ya viongozi wa dini wameonesha kukerwa na baadhi ya watumishi wa afya wasiojali wagonjwa na kutoa kauli chafu hatimaye kusababisha wananchi kuogopa kufika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRADI WA TABLET KWA SHULE ZA MSINGI WATAMBULISHWA NGAZI YA MKOA WA SHINYANGA NA WILAYA

    June 03, 2025
  • SHINYANGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA REA, WAUZIWA KWA RUZUKU MITUNGI 13000

    June 02, 2025
  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa