• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MATUKIO

  • Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu akizungumza na wananchi kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa kuongea na wananchi, Wilayani Kahama katika shule ya Msingi Muhungula.

    Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu akizungumza na wananchi wa kata ya Muhungula Wilaya ya Kahama wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack jana.

    Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Fadhili Nkurlu, akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack kuzungumza na wananchi wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa Wilayani humo.

    Mmoja wa wananchi wa kata ya Muhungula Wilaya ya Kahama akieleza kero za wananchi wa kata hiyo kwa Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.

    Bw. Nicholas Eliti ambaye ni mwananchi wa Kata ya Muhungula akimueleza Mkuu wa Mkoa kero mbalimbali kwa niaba ya wananchi wa kata hiyo Wilayani Kahama.

    Bi. Christina Emmanuel akimueleza Mkuu wa Mkoa Mhe. Zainab Telack, kero za wananchi wa kata ya Muhungula katika Wilaya ya Kahama wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa Wilayani Kahama.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kahama katika viwanja vya shule ya msingi Muhungula wakati wa ziara yake ya kawaida Wilayani humo.

    Mkuu wa Mkoa Mhe. Zainab Telack akizungumza na wananchi wa kata ya Muhungula Wilayani Kahama wakati wa ziara yake ya kawaida Wilayani humo.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza na wananchi na wanafunzi wa shule ya Msingi Muhungula katika ziara yake ya kawaida Wilayani humo.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiwasili katika viwanja vya shule ya msingi Muhungula Wilayani Kahama kwa ajili ya kuzungumza na kusikiliza kero za wananchi wa Wilaya hiyo. Kulia na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Bw. Anderson Msumba akimkaribisha Mkuu wa Mkoa.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akipanda mti katika shule ya Sekondari ya Mishepo, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga hivi karibuni.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akipanda mti katika shule ya Sekondari Mishepo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kuzindua kampeni ya upandaji miti Mkoani Shinyanga.

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akimkabidhi Kiranja Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mishepo alioupanda kwa ajili ya kuutunza

    Zoezi la upandaji miti katika uzinduzi likiendelea

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akitoa maelezo mafupi mara baada ya uzinduzi wa kupanda miti Kimkoa uliofanyika kwenye shule ya Sekondari ya Mishepo, katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack (katikati) akisisitiza jambo mara baada ya zoezi la upandaji miti lililofanyika kwenye shule ya Sekondari Mishepo katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM APONGEZA USHIRIKI WA MKOA WA SHINYANGA KATIKA MAONESHO YA SABASABA.

    July 06, 2025
  • RC. MBONI ATOA WITO KWA TISEZA KUTANGAZA FURSA KUU YA KONGANI YA UWEKEZAJI BUZWAGI

    July 05, 2025
  • MHE. RIDHIWANI KIKWETE AWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA MKOA WA SHINYANGA KWENYE MAONESHO YA SABASABA

    July 05, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA KAHAMA AWAPONGEZA WASHIRIKI WA MAONESHO YA SABASABA 2025 KUTOKA MKOA WA SHINYANGA

    July 05, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa